Jogoo anapowika

nachanganyikiwa kidogo hapo...ila najaribu kuelewa, lakini hutokea hata mchana akawika pia (babu zetu walisema eti sio vizuri akiwika mchana..tehe!!)
ukisema anawaamsha kuku wenzake, ina maana hata majogoo wengine, maana jogoo ni kuku pia, ilo jina tu!!tuseme anawaamsha mitetea..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom