Jogi anusurika katika ajali Masasi

Jogi anusurika katika ajali Masasi

Lukansola kwanza nakushukuru kwa kuwataarifu wanajamii forums kuhusu ajali iliyotaka kukatisha uhai wangu ama kuudhihirisha usemi "hujafa hujaumbika"
Nashukuru pamoja nanyi kuwa nimenusurika.
Asanteni wote mlionipa pole, mlioshtushwa na taarifa hizi nawapa pole pia.

Neno langu kwenu.

MUUJIZA HAUOMBWI, BALI MUNGU HUUFANYA UTOKEE KWA MTU AMTAYE KWA MATAKWA YAKE YEYE MUNGU.

Nitarudi kwa simulizi zaidi.

Asante jogi, rudi utupe kilichojiri.
 
pole sana mkuu jogi Mungu amekunusuru kwenye hiyo ajali mbaya
 
Last edited by a moderator:
Barabarani kuna mengi sana, mshukuru Mungu kwa kukupa uhai mkuu jogi
 
Last edited by a moderator:
Pole sana jogi
Mungu akuponye haraka na ukumbuke kumshukuru
 
Last edited by a moderator:
Poole kiongozi, usiache kufanya check- up ya mwili mzima inakuja sumbua even baada ya mda mrefu utajikuta sehemu mbalimbali za mwl zinauma
 
Lukansola kwanza nakushukuru kwa kuwataarifu wanajamii forums kuhusu ajali iliyotaka kukatisha uhai wangu ama kuudhihirisha usemi "hujafa hujaumbika"
Nashukuru pamoja nanyi kuwa nimenusurika.
Asanteni wote mlionipa pole, mlioshtushwa na taarifa hizi nawapa pole pia.

Neno langu kwenu.

MUUJIZA HAUOMBWI, BALI MUNGU HUUFANYA UTOKEE KWA MTU AMTAYE KWA MATAKWA YAKE YEYE MUNGU.

Nitarudi kwa simulizi zaidi.

Pole sana ndugu, hizi bodaboda kwa kweli ni janga, nasikia hata ajali ya singida ile Noa chanzo ni bodaboda, hali kadhalika basi la Mtei
 
Pole Jogi. Mungu akuwezeshe upone uendelee kujenga nchi
 
Pole sana jogi unaendeleaje?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu jogi yote ni mipango ya Mungu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom