Jogi anusurika katika ajali Masasi

Jogi anusurika katika ajali Masasi

Last edited by a moderator:
"Muujiza haombwi,bali Mungu utoa kwa amtakae-Jogi
 
Huyu bora angekufa maana alikuwa mwendo kasi sana.

duh!!!!
siamini macho yangu kwa maandishi uliyotuandikia.

Naamini siku yako ikifika utatamani apatikane wa kubadilishana naye ili usikinywee hicho kikombe, ni heri usimuliwe tu, manake unaonekana huwezi ku withstand miracle.
 
"Muujiza haombwi,bali Mungu utoa kwa amtakae-Jogi

Shetani akamwambia Yesu "kama kweli wewe ni mwana wa Mungu basi jirushe kutoka mlimani naye atakutumia malaika wake wakudake kwa mbawa zao"

Hapo shetani akimuelekeza Yesu aombe muujiza, naamini wote mnajua alijibiwaje.
 
Pole sn.

Mungu kakuvua na hili in sha Allah atakuvua na mabalaa mengine.
 
Pole sana. Mungu hashindwi na jambo lolote, tumpe difa na shukran kwa kuwanusuru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom