Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na mmoja wa wanasiasa machachari nchini ndugu Joel Bendera, siku ya jana ameweza kutunukiwa shahada ya heshima ya uzamivu kutoka chuo kikuu cha California State University cha nchini marekani (USA) Makamu mkuu wa chuo hicho alimtunuku ndugu Joel Bendera phd hiyo katika tafrija ndogo iliyofanyika viwanja vya ikulu ndogo mjini Morogoro! sambamba na hilo ndugu Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh Goodluck Ole Medeiy naye pia alitunukiwa shahada hiyo ya heshima ya uzamivu.
Hongera sana Dakta Joel Bendera
source: Abood Tv
Hongera sana Dakta Joel Bendera
source: Abood Tv