Jobless experience

Nipe mie hiyo KAZI ya duka,kikubwa daftari liwepo😂


Kwanza hauna camera dukani kwako?
Unaiba hadi camera, mtu mzima atakuwa anakuangalia tuu then siku ya tukio mwenye mali hatoamini macho yake.
Huyu anataka watoto mana hawana sauti ya kujitetea.
 
hapana naangalia mwenendo wake.hesabu ndio zitaamua kuwa aondoke au abaki lakini mara nyingi wakigonga miaka 23 akili ya ukubwa inawaingia ndiomana tunaepusha shari
Unatumia njia gn kuwafukuza ikiwa kila kitu kipo sawa?
 
H n kipindi hiko bado nasoma sekondari.

Haina part two, Ndo ikaishia hvy hvy kupigia nyeto chupi zake, ila sasa hv binti amezidi kuwa maridadi namuona kwa wasap status zake.
 
H n kipindi hiko bado nasoma sekondari.

Haina part two, Ndo ikaishia hvy hvy kupigia nyeto chupi zake, ila sasa hv binti amezidi kuwa maridadi namuona kwa wasap status zake.
Hebu niunganishe na hoyo binti bhana!
 
Unatumia njia gn kuwafukuza ikiwa kila kitu kipo sawa?
kilakitu kikiwa sawa hufukuzwi.kwasababu kama tumekaa miaka 3+ bilashaka biashara imekuwa na maslahi yameongezeka kwetu sote

unatakiwa uelewe kuwa biashara ukifanya vizuri inaongea na ukifanya vibaya inaongea
 
kilakitu kikiwa sawa hufukuzwi.kwasababu kama tumekaa miaka 3+ bilashaka biashara imekuwa na maslahi yameongezeka kwetu sote

unatakiwa uelewe kuwa biashara ukifanya vizuri inaongea na ukifanya vibaya inaongea
Umesema akifikisha 23 unamuondoa, Ndo nataka kujua hy njia ya kumuondoa
 
U jobless ni mbaya sana sana hasa ukiwa huna pa kuegemea

Nyumbn napo wanasubiri uwaambie umepata kazi wakati huna kazi

Wengine nyumbn kuko vzr wazazi wenye choyo kutwa masimango hatare sana

Nikalale
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…