JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

Jm kwa kweli wako vizuri iringa na mbeya pia ndio wanaoenda vizuri

Halafu Iringa wanachanganya Yutong kubwa na Mini Yutong! Ila kaka kuwa mkweli mambo yanabadilika sana. Huwezi kuamini Mtwara sasa inacompete kwenye nyanja nyingi kwenye miji ambayo iliipiga gap kubwa. Lakini leo ngoma ni draw! Logde za kumwaga, hotel, kumbi za Starehe kama Maisha Club, Royal Makonde club, na Copa Cabana- huu ni wa kisasa kabisa na mpya na unazinduliwa usiku huu leo pale mjini Mtwara
 
Nimekusoma Mkuuu.

Wa mwisho atakuwa wa kwanza.

Imeshaandikwa hiyo.

Big Show, nasikia kuna ukumbi mpya unaitwa Copa Cabana. Unazinduliwa leo 12.9.2014 usiku huu. Kama upo Mtwara tupia picha kama unaweza! Je unaizidi Maisha Club? Au Makonde Beach / Roya night club!? Tafadhali mdau The Big Show!
 
Dar - Tanga kuna RATCO! Full kiyoyozi na vinywaji ndani
 
kusini gari ni machinga 2 maning nice 3 buti la zungwa haya ndo mabasi ya uhakika ilo bac lako mwenyewe!
 
kusini gari ni machinga 2 maning nice 3 buti la zungwa haya ndo mabasi ya uhakika ilo bac lako mwenyewe!

Pamoja na hayo uliyoyataja ambayo ndo yalidominate kwa muda, lakini sasa mabasi yaliyotajwa kwenye huu uzi ni mazuri sana tena sana.
 
Tashirifu pia inatoa huduma nzuri kwenda Tanga kunani bila kusahau Bazuu v.i.p

sure, nilisafir nao (tashirifu)tanga-dar na dreva mwanamke gar ilipofika kange stendi akatutangazia haiwez kuendelea na safari sababu ya matatizo ya brek hivyo tushuke tutaletewa bas lingine
baada ya dakika 5 ikaja nyingine mama akapiga gia
cha kushangaza eti trafic hawamwamini walinikera kidogo
 
Ni ubishi usio na tija , kuna watu humu wanajifanya wajuaji sana.Kazi kumeza kila wanalosimuliwa bila kuhakiki. Ukweli ulio wazi ni kuwa Dar-Mtwara ndo kuna basi luxury na standard bora kuliko sehemu yoyote kuanzia Dar.

sure MANING
BUTI LA ZUNGU
MACHINGA
5ALLIANCE
JM LUXURY
IBRA
GAMET
HAMANJU
NAJMA
LEO NK
Penye ukweli tuwapeni credit
 
Wakuu jichungeni sana na haya mabasi.
Vifo vya ajali ya mabasi vinaongezeka kwa kasi sana.

Na ikiwezekana Abiria wasusie kukaa viti vya mbele na dereva akienda kasi sana AKEMEWE HARAKA SANA.
Na kama hataki kusikia basi bora safari ife na polisi wafahamishwe.

Tumechoka kuona watu wanakufa ovyo.
 
Kasahau 5 alliance na Mtoto wa Mwanza pia wapo vizuri. Na kwa kusafiri kwangu maeneo mengi naamini Mtwara ndio sehemu yenye asilimia 90 ya mabasi ambayo ni mazuri na hayana ubabaishaji.

acha hizo wewe route yenye mabasi mengi na standar ni rout ya dar arusha na sone how dar dodoma. sasa huku mtwara kampuni za mabasi zinahesabika tu afu uringanishe na rout ya dar arusha ambako kuna kampuni za mabasi zaidi ya 20 na zipo standard
 
Big Show, nasikia kuna ukumbi mpya unaitwa Copa Cabana. Unazinduliwa leo 12.9.2014 usiku huu. Kama upo Mtwara tupia picha kama unaweza! Je unaizidi Maisha Club? Au Makonde Beach / Roya night club!? Tafadhali mdau The Big Show!

milevi utaijua tu, inafurahia ujenzi wa baa na gesti kuendekeza uzinzi tu, badala ya kufurahia ujenzi wa shule,hospital viwanda,barabara,et wao ujenzi wa gest na kumbi za starehe hayo ni maendeleo kwao!!
 
observation yako ni ukweli mtupu. nilimuambia Mtu mmoja kusini kuna magari ambayo ni luxury kuliko hata barabara ya Dar Arusha.

nakutajia kampuni kumi ambazo zina basi standard kwa routi ya dar arusha japo kuna kampuni kama utitiri vile.
1. kilimanjaro
2.buffaro
3.ngorika
4. machame express
5.lim safari
6.kidia one
7. ibra line
8.metro
9.arusha one
10.kirumo
hizo nibaadhi ya kampuni zenye basi ztandard. arusha dar route ni noma na kwa mtazamo wangu mi nadhani hii route ndo inaongiza kwa zababu route ya mtwara hata kampun 5 standard hazizidi
 
kusini gari ni machinga 2 maning nice 3 buti la zungwa haya ndo mabasi ya uhakika ilo bac lako mwenyewe!

Hahahaaa, :-D (ilo basi lako mwenyewe) hiyo kauli nzuri sana.
Mabasi mazuri sana hayo ulotaja tena sana!!. Ila nasisitiza kwa kusema hayana huduma maridhawa kama niliyopewa JM LUXURY COACH, kwa kukuhakikishia 'buti la mzungu' week hii anatoa yutong mpya new model nimeziona hapa mtwara ndo zinaingia (jana), ila sasa hawatafikia pale.
 
Wakuu jichungeni sana na haya mabasi.
Vifo vya ajali ya mabasi vinaongezeka kwa kasi sana.

Na ikiwezekana Abiria wasusie kukaa viti vya mbele na dereva akienda kasi sana AKEMEWE HARAKA SANA.
Na kama hataki kusikia basi bora safari ife na polisi wafahamishwe.

Tumechoka kuona watu wanakufa ovyo.

Mkuu umesomeka.
 
Kwa nini mna mhukumu? Au mnamjua? Mdau kafurahia huduma kaona ashee na wadau wenzake wa jf mna maindi, watu bana!

Mdau Lukansola; hao jamaa wanaoponda au kudai nimeleta tangazo wametumwa humu cjawahi kuona comment zao nzuri hata moja kwenye post za wanajamvi ila wao wanajiona, ila wanapaswa kujua tupo kwenye Habati na Hoja mbalimbali. Waache hizo bana!!
 
nakutajia kampuni kumi ambazo zina basi standard kwa routi ya dar arusha japo kuna kampuni kama utitiri vile.
1. kilimanjaro
2.buffaro
3.ngorika
4. machame express
5.lim safari
6.kidia one
7. ibra line
8.metro
9.arusha one
10.kirumo
hizo nibaadhi ya kampuni zenye basi ztandard. arusha dar route ni noma na kwa mtazamo wangu mi nadhani hii route ndo inaongiza kwa zababu route ya mtwara hata kampun 5 standard hazizidi

Masikini Dar Express imekufa..
 
Kitu WIFI bhana,nikifika mbagara huwa siulizi naitafuta,kuna wifi moja ya kwenda Ruangwa ina keria Juu,imeandikwa vuvuzela nyuma yaan hizo amanju sijui JM zenu zinasubiri sana tu,siku ya kwanza niliidharau ila ndo the best bus
 
Nimesafiri na MACHINGA na MANING NICE hasa route za Mchana wakati mwingine wanakuwaga waHUNI ukienda kukata Tiket wanakwambia GARI ina AC bt safari.ikianza wanafunga madirisha then wanawasha Fan walinitesa sana hawa ndg Kesho naenda tena MTWARA nitawajaribu hao J nao.nione huduma zao,,,!
 
sure, nilisafir nao (tashirifu)tanga-dar na dreva mwanamke gar ilipofika kange stendi akatutangazia haiwez kuendelea na safari sababu ya matatizo ya brek hivyo tushuke tutaletewa bas lingine
baada ya dakika 5 ikaja nyingine mama akapiga gia
cha kushangaza eti trafic hawamwamini walinikera kidogo

heri yao wamestaarabika now
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom