JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

observation yako ni ukweli mtupu. nilimuambia Mtu mmoja kusini kuna magari ambayo ni luxury kuliko hata barabara ya Dar Arusha.

Tanga nako kuna RATCO, sasa wanatoa VIP nauli 35,000/= hadi Tanga unakaa kiti cha peke yako
 
mie nipo siriasi nakwenda Kusini karibuni, basi kali kuliko yote ni lipi? (haijalishi bei)
 
download.jpg
 
Unaweza kuwa na idadi ya wanafunzi 50 ambao ni wahitimu wa kidato cha nne katika shule yako na wote wakawa wamefaulu kwa alama ya Div 1 & 2 hakuna chini ya hapo. Kisha shule fulani ikawa ina wanafunzi 125 na kuna alama za Div 1, 2, 3 & 4.
Shule bora ni ipi hapo?? Tafakari!!!!chukua hatua.

mfano wa wanafunzi wa nini sasa twende kwenye maada husika sio tunaruka vihunzi kusini kuna luxury buses sawa ila kaskazini zipo nyingi zaidi mara 10 ya kusini


nimekutajia hapo kampuni 10 na kila kampuni ina basi slasic mfano bufalo ana basi sita tatu zinapanda tau zinashuka na zote ni luxury metro ana basi sita na zote ni luxury. hayo ni baadhi.

labda tuhesabu idadi ya hizo clasic za kusini na kaskazini tuone nani zaidi.

na nina uhakika hakuna kampuni huko kusini inayopeleka gari zake 6 kwa siku na zote ziwe luxury.
 
wifi amejiimarisha ruti ya Dar-Masasi, Dar-Ruangwa na sasa ana ruti mpya ya Dar-Mangaka
Siku ya kwanza kwenda Ruangwa nilipanda ZAMZAM,tunafika Mkuranga likaharibika,tulikaaa 6 hrs.saa sita unusu mchana ndo linakuja BASI LINGINE KUJA KUFAULISHA,mwenyeji wangu akanambia basi la UHAKIKA NI WIFI,ndo nayatumia kwa sasa safari za kwenda na kutoka ruangwa,hakuna soda,hakuna chai,hakuna juisi ila nalikubali sana
 
Safari za kusini zilikuwa zinanikera sana, customer care kwa abiria ni sifuri kabisa. Kubadilishiwa basi ni kitu cha kawaida sana. Abiria hana thamani akipanda kwenye gari. Hii route ya kusini inafanana na routes za Mwanza-Musoma, Mwanza-Tarime na Mwanza-Tabora. Abiria wananyanyaswa sana.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Wengi humu naona mnapiga kelele tu, root ambayo ki ukweli mda mrefu sana imekuwa na standard and luxury buses (all time root with luxury buses) ni root ya Dar-Mby. Katika safari zangu za miji mikubwa ya Tz yaani Mwz,Mby,Aru na Dom, Mby ni funiko. Kwanza ndio root ya kwanza kuwa na bus luxury za yutong na baadae zhongtong.
 
mfano wa wanafunzi wa nini sasa twende kwenye maada husika sio tunaruka vihunzi kusini kuna luxury buses sawa ila kaskazini zipo nyingi zaidi mara 10 ya kusini


nimekutajia hapo kampuni 10 na kila kampuni ina basi slasic mfano bufalo ana basi sita tatu zinapanda tau zinashuka na zote ni luxury metro ana basi sita na zote ni luxury. hayo ni baadhi.

labda tuhesabu idadi ya hizo clasic za kusini na kaskazini tuone nani zaidi.

na nina uhakika hakuna kampuni huko kusini inayopeleka gari zake 6 kwa siku na zote ziwe luxury.
Nimegundua kitu, wewe ni mbishi tu kwa kuwa umeamua kuwa mbishi. Endelea kuamini hivyo uaminivyo.
 
Wengi humu naona mnapiga kelele tu, root ambayo ki ukweli mda mrefu sana imekuwa na standard and luxury buses (all time root with luxury buses) ni root ya Dar-Mby. Katika safari zangu za miji mikubwa ya Tz yaani Mwz,Mby,Aru na Dom, Mby ni funiko. Kwanza ndio root ya kwanza kuwa na bus luxury za yutong na baadae zhongtong.
Usafiri wa mabasi kwenda mikoani umeanza baada ya kuja kwa Yutong? Serious?

Hebu tafuta bandiko la mabasi ya mikoani hapa JF ili upate data za mabasi tokea wakati wa Uhuru hadi leo!
 
Kweli bhana nkuu, picha zingeongea zaidi. Halafu hilo jina lako linanikumbusha miaka dahali nyuma nishakula sana nikiwa Msimbati.

Hapa nimeweka jina hilo kwa makusudi kama kumbukumbu za maisha ya huko home Mtwara, japo naishi Dar kikazi. Pale Sealander Bridge( sorry spelling mistake) ukipita utasikia harufu ya Chaza. Sasa kwa kuwa maji yameingia ardhini ndo wakati Rasi ya Chaza yaani Oyerster Bay! Chaza huitwa ni Oyerster kwa kimombo.
 
Kweli bhana nkuu, picha zingeongea zaidi. Halafu hilo jina lako linanikumbusha miaka dahali nyuma nishakula sana nikiwa Msimbati.
Msimbati kuishi kwangu kote Mtwara enzi hizo mwisho ni pale Ziwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom