JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

JM Luxury coach: Mbadala wa Scandinavia Express

niliwahi kusafili na machinga then JM kwa huduma JM wako vizur custom care yao ni nzur.. hata usafi wa gar ndani wako poa sana
 
Ni ubishi usio na tija , kuna watu humu wanajifanya wajuaji sana.Kazi kumeza kila wanalosimuliwa bila kuhakiki. Ukweli ulio wazi ni kuwa Dar-Mtwara ndo kuna basi luxury na standard bora kuliko sehemu yoyote kuanzia Dar.

Watu ni Wabishi tu. na mbaya zaidi wanabisha bila kufanya analysis ya kutosha. nasafiri kila Mara kuelekea arusha najua ubabaishaji uliopo, lakini pia nasafiri kuelekea kesini najua huku ukileta basi la hovyo huwezi kupata Mteja.
 
Wakuu jichungeni sana na haya mabasi.
Vifo vya ajali ya mabasi vinaongezeka kwa kasi sana.

Na ikiwezekana Abiria wasusie kukaa viti vya mbele na dereva akienda kasi sana AKEMEWE HARAKA SANA.
Na kama hataki kusikia basi bora safari ife na polisi wafahamishwe.

Tumechoka kuona watu wanakufa ovyo.

Tumekusoma tutavaa ujasiri Mkuu.
 
Dar to Arusha itaendelea kuwa best route ya mabas coz ina mabas kuanzia business class to economic class licha ya kua imeanza miaka mingi sana but huko Mtwara route ya barabara zimeboreshwa miaka hii so lazima mabas yaende mapya kutafuta soko ila kamwe haiwez kushindana na route ya Dar to Arusha to Nairobi bas kila siku zinaletwa mpya kuendelea na competition
 
nakutajia kampuni kumi ambazo zina basi standard kwa routi ya dar arusha japo kuna kampuni kama utitiri vile.
1. kilimanjaro
2.buffaro
3.ngorika
4. machame express
5.lim safari
6.kidia one
7. ibra line
8.metro
9.arusha one
10.kirumo
hizo nibaadhi ya kampuni zenye basi ztandard. arusha dar route ni noma na kwa mtazamo wangu mi nadhani hii route ndo inaongiza kwa zababu route ya mtwara hata kampun 5 standard hazizidi

Namimi nachambua kati ya hizo ambazo naona zinaweza kushindana na laxary za kusini.Kilimanjaro, Kidia one, Metro na Arusha one basi.
 
nakutajia kampuni kumi ambazo zina basi standard kwa routi ya dar arusha japo kuna kampuni kama utitiri vile.
1. kilimanjaro
2.buffaro
3.ngorika
4. machame express
5.lim safari
6.kidia one
7. ibra line
8.metro
9.arusha one
10.kirumo
hizo nibaadhi ya kampuni zenye basi ztandard. arusha dar route ni noma na kwa mtazamo wangu mi nadhani hii route ndo inaongiza kwa zababu route ya mtwara hata kampun 5 standard hazizidi
Bila kusahau Mtei na KIMOTCO
 
acha hizo wewe route yenye mabasi mengi na standar ni rout ya dar arusha na sone how dar dodoma. sasa huku mtwara kampuni za mabasi zinahesabika tu afu uringanishe na rout ya dar arusha ambako kuna kampuni za mabasi zaidi ya 20 na zipo standard

Unadandia hoja wewe, sijazungumzia wingi wa kampuni za basi. Ni kuwa ukichukua wastani wa mabasi kwa ujumla wake ni kwamba Mtwara ndo wako juu ya Ar au huko Dom. Mimi ni shahidi wa kusafiri mara kwa mara maeneo mengi kwa kutumia hayo mabasi sio wa kusimuliwa kama wewe.
 
Namimi nachambua kati ya hizo ambazo naona zinaweza kushindana na laxary za kusini.Kilimanjaro, Kidia one, Metro na Arusha one basi.

pole ushaona kitu bufaro au umeisikia ile kampuni basi zake zotr ni mpya hata miezi nane hazijafunga
 
Halafu Iringa wanachanganya Yutong kubwa na Mini Yutong! Ila kaka kuwa mkweli mambo yanabadilika sana. Huwezi kuamini Mtwara sasa inacompete kwenye nyanja nyingi kwenye miji ambayo iliipiga gap kubwa. Lakini leo ngoma ni draw! Logde za kumwaga, hotel, kumbi za Starehe kama Maisha Club, Royal Makonde club, na Copa Cabana- huu ni wa kisasa kabisa na mpya na unazinduliwa usiku huu leo pale mjini Mtwara
Nafurahi kusikia hilo, nilikuwa Mtwara mwaka 2007 hakukuwa kuzuri eti, ila najilaumu sikununua hata robo ekari ya Kiwanja.
 
Unadandia hoja wewe, sijazungumzia wingi wa kampuni za basi. Ni kuwa ukichukua wastani wa mabasi kwa ujumla wake ni kwamba Mtwara ndo wako juu ya Ar au huko Dom. Mimi ni shahidi wa kusafiri mara kwa mara maeneo mengi kwa kutumia hayo mabasi sio wa kusimuliwa kama wewe.

sasa utazungumziaje wastani bila kuhusisha uwingi au idadi ya hayo mabasi? hiyo hesabu ya wastani unaitoa wapi bila wakati unaignore idadi ya mabasi?

hata hivyo kwa wastani tu chukua idadi ya mabasi yanayotoka dar kuja mtwara ukizidisha mara 10 hivi ndo utapata idadi ya basi za dar arusha. hapo ndo ujiulize huo wingi wa mabasi ya arusha je yote hayapo standard?

au kwakuwa basi inaandikwa classic/luxury ndo unaamin ni standard?
 
sasa utazungumziaje wastani bila kuhusisha uwingi au idadi ya hayo mabasi? hiyo hesabu ya wastani unaitoa wapi bila wakati unaignore idadi ya mabasi?

hata hivyo kwa wastani tu chukua idadi ya mabasi yanayotoka dar kuja mtwara ukizidisha mara 10 hivi ndo utapata idadi ya basi za dar arusha. hapo ndo ujiulize huo wingi wa mabasi ya arusha je yote hayapo standard?

au kwakuwa basi inaandikwa classic/luxury ndo unaamin ni standard?

Unaweza kuwa na idadi ya wanafunzi 50 ambao ni wahitimu wa kidato cha nne katika shule yako na wote wakawa wamefaulu kwa alama ya Div 1 & 2 hakuna chini ya hapo. Kisha shule fulani ikawa ina wanafunzi 125 na kuna alama za Div 1, 2, 3 & 4.
Shule bora ni ipi hapo?? Tafakari!!!!chukua hatua.
 
Scandinavia haitakaa itokee Tanzania tena. Sijui mzee Mohamed ameanzisha biashara nyingine
That was the bus. Dar Bukoba kwa passport. Dar Musoma kwa passport. Dar Nairobi. Dar Mombasa. Dar Tanga. Dar Arusha name it na route hiyo walikwenda ispokua Mtwara maana hakukua na abiria wenye hadhi ya kupanda MARCO POLO ANDARE CLASS
Wacha Madhereu bro....!! Tutake Radhi
 
Scandinavia haitakaa itokee Tanzania tena. Sijui mzee Mohamed ameanzisha biashara nyingine
That was the bus. Dar Bukoba kwa passport. Dar Musoma kwa passport. Dar Nairobi. Dar Mombasa. Dar Tanga. Dar Arusha name it na route hiyo walikwenda ispokua Mtwara maana hakukua na abiria wenye hadhi ya kupanda MARCO POLO ANDARE CLASS

dah! haya matusi kweli. Hasta la victoria siempre. viva mtwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom