mabesela
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 1,294
- 680
watu wanaconclude tu bila kufanya utafiti wa kutosha. mtu anatoka kupanda mabasi ya dar kigoma au dar malinyi akipanda luxury ya kawaida tu dar mtwara anasema ndio best nchini. haya mtwara kuna gari ya kulingana na hyo?
Tatizo mko kishabiki zaidi kuliko uhalisia. Mi nasafiri kwenda mikoa mbalimbali nchini. Hivyo hayo economy na business class nishasafiri nazo sana, kuanzia New force, Ngorika, Ibra line, Machame n.k. Hapa tunaongelea uwepo wa basi standard..Mtwara inaongoza kuwa na basi nzuri. Nenda Temeke huwezi kuta za kuchonga au zilizochoka si bodi wala mashine. Hii haiondoi uwepo wa luxury maeneo mengine.