BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
....Amina
namuombea Sana Mungu amuepushie na hayo majanga....
namuombea Sana Mungu amuepushie na hayo majanga....
Nimeangalia kwny pdf ya jkt 19 May 2014 awamu ya kwanza sijaona jina la honoratus uiso. Majina yote yapo kwny Jeshi la Kujenga Taifa na hakuna jina hilo. Tujaribu kupost vitu halisi maana wengine tuna watoto huko.
namuombea Sana Mungu amuepushie na hayo majanga....
Hao kuruti kukesha mbaka asubuhi ni part ya military training
Sleep deprivation kwa recruit inamjengea uvumilivu,umakini na ujasiri wa ajabu
Pia katika battlefield mapigano yanaweza kuendelea zaidi ya masaa 24 mfululizo,kutolala kwa kuruti kunamzoesha hiyo hali kama vita ikitokea
honoratus jina la kiume...angalia kama kuna honorata ndo pacha wa jina hilo, hayo ni majina ya kilatini kama romanus,romana,,,beatus,beata etc
kosa nililofanya sikumuuliza kuwa aliyekufa ni mwanafunzi aliemaliza shule ipi na alkuwa akitokea wapi kimakazi ila ntajaribu kupaste mazungumzo yalivokuwa..ninarusha alizonitumia tu ili kuokoa muda na nafasi nisiwachoshe wanajamvi kusoma maelezo marefu .. nimemuliza mbona kawa kimya???:
majibu..Uku kwema. . .me sna phone. . .na2mia 2 simu za watu wengne
nikamuuliza hali ya huko....
majibu: Uku hamna zaid tu ya watu kuumwa sana. .juz kati 2memzka mdada na watu kama wawl wamechanganykiwa.
.
nikamuuliza viongozi wanalionaje hilo au wanajibu nin
majibu...Viongz wanasema uku kufa kawaida na m2 akfa cku yake imefka
nikamuuliza yey binafsi anaish vip mana ana tatizo la kuishiwa damu
majibu...namshkr mungu kwa hlo hawanipi kazi nzito. . .haya kwaher nlikuwa nakusalim nardsha sim kwa mwenywe
mwisho wa maongezi
maongezi haya si ya kutunga ni ya ndugu yangu yupo oljoro arusha na hizi text tumechat jana
Huu ni moja ya uongo na kuwaweka watu roho juu. Na kama kuna mwanafunzi mgonjwa yupo kambi yyt tofauti na ruvu basi ni uzembe na upuuzi. Mtandao wa JKT umewaelekeza wanafunzi wote wagonjwa kwenda Ruvu JKT, ww unatudanganya. Tupe jina la mtoto wako hapa. Nimemtafuta mkuu wa Oljoro, anaitwa Myalla na hakuna kitu km hicho.
Lkn yule afande alikiri kutokea kwa kifo hicho na kueleza sababu ni upungufu wa damu uliotokana na kuugua malaria kwa muda mrefu...sasa rasta nakuona unabisha tu yaani we unabisha tu...
Hebu tupeni jina la marehemu, shule aliyotoka na eneo alilotoka jamani maana hadi sasa hatujui ni nani. Wote wanasema kuna kifo lakini cha nani haisemwi na JKT wamekana.
Afande yupi? Una maana ya msemaji wa TPDF luteni kanali Erick Komba? Hebu weka hapa audio tusikie.
Kumbe jf imekamata mpaka watu wa jeshi wanasoma humu na kwenda kukanusha kwenye media zingine? Pole zao ila uuaji wa raia si uungwana.
Jamaa mbona mkali sana au u mkufunzi...? Anyway tulionywa kutoliandika jeshi letu