JK ndani ya siku ya walimu duniani kitaifa Songea

Mtu aliyeanzisha huu uzi mbona kimya tena? Tupe ishu kama yule jamaa wa Singida.
 
Inawezekana hao wakawa sio walimu ni makada tu wa sisiem wakupakiwa kwenye malori.:hand:
 
Libasket B vip umenyang'anywa kitendea kazi mbona huwakilishi matukio tena ?
 
Walimu Wameshapewa Choices, Uadilifu na Ubadhirifu ni Jukumu lao kufanya Uchaguzi ulio sahihi, vile vile hawa walimu wengine ni mama zetu, baba zetu, dada zetu, tuendelee kuwahamasisha juu ya Umuhimu wa Mageuzi, Tuwaambie wasikubali kugeuzwa Ngazi ya CCM katika Uchaguzi 2010
 
naamini walimu bao wanadanganyika kwa hiyo kikwete atapigiwa makofi na kura atapewa tu
 
Mhhh kwa walimu wetu hawa hawa mi sina matumaini nao saana. Maana wasiwasi wangu unaanzia kwa hao viongozi wao. YUpo jamaa mmoja siku hizi anaongea saana si comredi Mkoba!!, yeye anatoka mkoani Mara anaitwa OL...... Huyu jamaa nilikuwa naye UDSM, na alikuwa katika uongozi wa Daruso, miaka ya 90 na ushehe. Siku moja alinusulika kubondwa na wanafunzi pale Nkhuruma kutokana na kuwa TRAITOR!!! Hivyo waalimu wamuangalie kwa macho ya tahadhari saana. Si kiongozi makini. Kumbukeni historia yake. Ndio maana nasema matokeo baaada ya mkutano huo ni JK kuelewana na waalimu. Kumbukeni kama kusingekuwa na matumaini hayo JK asingeenda kwenye mkutano huo
Babayah67
 
Inawezekana hao wakawa sio walimu ni makada tu wa sisiem wakupakiwa kwenye malori.:hand:


Nimependa concetration yao na uniformity, what does one get from this picture? Anayetia doa ni mama mwenye kanga inaelekea kapotea njia, it so uniform and organised to be true

Kwa kweli waalimu wamejitahidi kumechisha, all of them in black trousers and skirts as the case may be. Hawa ni waalimu kweli. Naona kama uniform za fiesta isipokuwa cap na T shirt

 
Libasket B vip umenyang'anywa kitendea kazi mbona huwakilishi matukio tena ?

samahanini ndugu zangu kitendea kazi kiliishiwa moto pale uwanjani nikashindwa kuendelea kuwaletea yanayojil live but subiri nianzishe post mpya niwaelezee hali halic iliyotokea pale na maon ya baadhi ya walimu.
 
samahanini ndugu zangu kitendea kazi kiliishiwa moto pale uwanjani nikashindwa kuendelea kuwaletea yanayojil live but subiri nianzishe post mpya niwaelezee hali halic iliyotokea pale na maon ya baadhi ya walimu.

Hamna haja ya Kuanzisha Uzi Mpya, Mwaga hapa hapa
 
Mkuu, lete tu hapahapa tunakusubiri masaa kibao......

Utatupoteza wengine njiani maana nywele zimeshakuwa Mvi mvi hivi kama wasichana ma Blondy (wajinga sana).......
 
Live TBC: Maghembe anasema kuna mradi unaitwa Tanzania beyond tomowrrow unaonuia kufanya yafuatayo:

1. Kuweka wingu la internet katika kila shule (hapo sijamuelewa kabisa Prof)
2. Kufungua maabara za dijitali (digital) lila shule . amesahau kama shule nyingi hazina umeme

hivi huwa wanasahau au ina maana hawajui kuwa wanafunzi wengi tz wanaketi kwenye vumbi, hawajawahi kukalia kiti wakiwa shuleni .... halafu leo wananadi wireless internet (wingu la internet) kila shule!!
wanawadharau sana waalimu, wanaona capacity yao ya kutathmini mambo ni ndogo sana!!
 
Mhhh kwa walimu wetu hawa hawa mi sina matumaini nao saana. Maana wasiwasi wangu unaanzia kwa hao viongozi wao. YUpo jamaa mmoja siku hizi anaongea saana si comredi Mkoba!!, yeye anatoka mkoani Mara anaitwa OL...... Huyu jamaa nilikuwa naye UDSM, na alikuwa katika uongozi wa Daruso, miaka ya 90 na ushehe. Siku moja alinusulika kubondwa na wanafunzi pale Nkhuruma kutokana na kuwa TRAITOR!!! Hivyo waalimu wamuangalie kwa macho ya tahadhari saana. Si kiongozi makini. Kumbukeni historia yake. Ndio maana nasema matokeo baaada ya mkutano huo ni JK kuelewana na waalimu. Kumbukeni kama kusingekuwa na matumaini hayo JK asingeenda kwenye mkutano huo
Babayah67


Mkuu umenigusa sana acha huyu MZEE kwa coloured,acha alale salama kwenye nyumba yake ya milele,he was a man,strongly man,nawajua hata watoto wake wako peace na strong mbaya hawachezi na life,nadhani angekuwepo hapo MKOBA pangechimbika...RIP MKOBA..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom