bora hata Pinda, maana mawazir wakuu wangapi walifanya madudu na wakapetaaa?
buggy nimeipenda hii avata yako ila ingekuwa vizuri ungejiita mpesa man
bora hata Pinda, maana mawazir wakuu wangapi walifanya madudu na wakapetaaa?
Walio karibu na system wanasema Rais atavunja baraza la Mawaziri baada ya Uchaguzi wa CCM mwishoni mwa mwaka huu ili kupata timu ya kumfikisha 2015.
Bila kumrudisha Lowassa kuwa waziri mkuu itakuwa nothing.
Amuoaye mama yako ni baba yako. JK afanye maamuzi magumu na asiogope. mimi niko nyuma yake. Pinda hafai kuwa PM kwa kuwa hajiamini.
Mchambuzi itasaidia kama utaliangalia hili kialisia na kuacha kumtetea kiongozi wako wa kichama na nchi. Bill aitoki mbinguni kwenda bungeni kujadiliwa na mpaka hapa walipo kutaka kuipigia kura hiwe sheria ujue ni kwamba imepitia process ndefu sana. Sasa embu jiulize ni nani aliepeleka hii bill bungeni (ilianza kama a private motion au ilikuwa ni ya serikali). Kwakuwa imetoka upande wa serikali regardless nani kaianzisha na inahusiano na matumizi yetu wizara husika ilitakiwa itambue hili mapema sana.
Embu sasa jiulize hii kitu imepitia process gani mpaka kufikia hapo ilipo na raisi kakosa vipi information ya bill muhimu kama hiyo ambayo imeanzishwa na serikali yake au mwanachama wake mpaka imefikia hatua ya kutaka kupigiwa kura bungeni. We uoni kama Mr.President ni mzembe na hajui mengi sana yanayoendelea chini yake, surely mtu hawenzi jianzia expensive bills without his blessing mpaka hapa hilipo, kama alijua implications za hii bill in the first place ana madaraka ya kuizuia hata isifike bungeni, kumbuka yeye ndio Mr.President na kiongozi wa chama kinacho ongoza taifa ana mikono mirefu pande zote mbili.
My take ni kwamba ni muongo he knew all along isipokuwa ime-back-fire sasa anataka kuikana for the sake of his popularity. Kwanini nasema hivi waziri mkuu sidhani kama angeweza jiropokea kwenye umma na kumtaja raisi kama kweli hakujua, isipokuwa sasa tu ndio anatafuta mlango wa kucholopokea.
Worst off Spika wa Bunge anasema watu wameshaanza kupokea hizo posho since novemeber, kama muswaada ndio unataka kupigiwa kura sasa ni nani alieidhinsha wabunge kulipwa kama bunge lilikuwa bado hata alijapiga kura za kuridhia iwe sheria. Talk about political satire maana raisi pengine muongo (siamini kama alikua alijui hili) au labda aheshimiki na subordinates wake maana huko ni watu kujianzia tu ndio maana ana ukana leo huo muswada, Spika mlopokaji asiejua hata kauli zake zinakingana na simple roles of the house he runs. The PM is a joke kazi kutumiwa na kubadilikiwa mambo yanapoenda mrama. Thats Tanzania for you.
hoja hii ni ya siasa zaidi yaani blabla haina mshiko, kwani imegengwa kwenye fikra binafsi zaidi, haina chanzo cha taarifa.Kuna tetesi kuwa huenda yale yaliyotokea mwaka 2008 yakajirudia tena. Safari hii mtoto wa Mkulima Mizengo Kayanza Peter Pinda Waziri Mkuu anaachia ngazi ya Uwaziri Mkuu baada ya tuhuma nzito tatu(3)zinazomkabili katika ofisi hiyo nyeti.Kwa mwenye habari za undani zaidi kuhusu hizi tetesi naomba aendelee kutupasha zaidi.
- Mizengo Pinda anatuhumiwa kuwa kwa kushirikiana na spika wa Bunge Anne Makinda AMELIDANGANYA BUNGE KUHUSU POSHO ZA VIKAO ZA WABUNGE KUWA RAIS KIWETE ALIKUWA AMERIDHIA NYONGEZA HIYO YA POSHO KUTOKA SHS.70,000/= MPAKA SHS.200,000/=kitu ambacho siyo kweli.
- Mizengo Pinda akishirikiana na Waziri wa Afya na NAIBU wake anatuhumiwa kushindwa kusimamia ipasavyo ili kuepusha au kuzuia MGOMO WA MADAKTARI MUHIMBILI MGOMO AMBAO HATIMAYE ULIPELEKEA MGOMO WA MADAKTARI NCHI NZIMA.
- Mizengo Pinda kama Mkuu wa shughuli za Serikali Bungeni ameonyesha UDHAIFU mkubwa kwa kushindwa kuwasimamia Wabunge wa CCM ambao wametishia kupiga KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA RAIS WAO Kiwete na pia kutishia KUPINGA MSWADA WA KATIBA MPYA YA JMT.
Nawasilisha
Kuna wabunge wengi sana ambao ni very competent lakini kwa sababu moaj au nyingine hawajateuliwa katika nafasi hiyo chini ya awamu ya nne. Ukiachilia wabunge wa majimboni, Rais ana nafasi kumi za kuteua mtu yoyote kuwa mbunge. kama tunavyojua, mbunge wa kuteuliwa hana much commitment kama yule wa jimboni, ana muda mwingi sana wa kufanya mambo yake, sasa Rais angeteua mawaziri wa sekta muhimu kama Fedha, Afya, Elimu n.k kutoka miongoni mwa wabunge wa kuteuliwa - ambao atawapa huo ubunge on merit, sio kwa fadhila. Hapo tutaona tofauti kubwa sana katika wizara husika. Lakini pia labda niseme kwamba kuna tabia ya baadhi ya makatibu wakuu kuwakwamisha mawaziri wao kwa sababu mbali bali, lakini hili watu huwa hawalisemi; hili ni tatizo kubwa sana katika utendaji serikalini. Inabidi mfumo wa makatibu wakuu pengine ufutwe ili wabaki wakurugenzi wa idara tu ili nguvu wizarani isambae kulingana na vitengo, sio kuwa chini ya mtu mmoja tu - katibu mkuu, ambae akigongana na waziri wake kuhusu mhudumu wa chai, kazi wizarani zinageuka kutoka zile za kuwahudumia wananchi, na kuwa za kukomoana kwa viongozi husika.Wana JF naomba tusaidiane kuchambua ni Mbunge Gani kama kweli Ijumaa Rais atalivunja Bunge unadhani atarudi Bungeni?
Je na kama atavunja Baraza la Mawaziri unadhani ni nani anafaa kuwa waziri na ni Wizara gani?
Nawasilisha...