Haya ndo yetu wasomi wa kiafrika! Siku ya sherehe za uhuru kwenye radio moja kuna mzee mmoja alisikika akiuliza kwamba tuna madokta na maprofesa kibao lakini hajawahi kusikia vipi tafiti au gunduzi za hawa wanazuoni wanaongezeka na kutangazwa kila siku zimesaidia nchi yetu kutoka hatua moja kwenda nyingine kimaendeleo zaidi ya tafrija za kupongezana kwa kupata nondoz zisizojaribiwa katika matendo ya kijamii na kiuchumi wa watu! Hii ni changamoto hata kwa hawa wanotunuku na si anayetunukiwa bila kuomba kwani wanjua vigezo wanavyotumia kufanya hivyo japo wanaweeza kuvipindisha ku-fit their agenda!