Hana masters
1 Honour: Honorary doctorate degree in Law
Awarded by: Rev. Dennis Dease, University of St. Thomas (Minnesota)
Date of Award: 2006
Reason for Award: in recognition of his dedicated public service
2 Honour: Honorary degree (Doctor of Humane Letters)
Awarded by😀r Harris Mule, Kenyatta University
Date of Award: December 2008
Reason for Award: in recognition of his efforts in solving conflicts and ensuring peace in Africa
3 Honour: Honorary doctorate in the science field of International Relations
Awarded by: Prof Şerif Ali Tekalan, Fatih University
Date of Award: February 2010
Reason for Award: for promoting international relations between Turkey and Tanzania
Wenye roho za korosho, nendeni mkajinyonge! Honor moja imepewa bara la America, ya pili kapewa bara la Africa na ya tatu bara la Ulaya!
Simple. It's a characteristics of dictators. Simtofautishi na Iddi amini, Bokasa, Mugabe, Mobutu nk. Hutumia kila mbinu kujijenga kwenye uwezo ambao hawana.
nyerere naye alipewa honorary degree na alikwenda vyuoni kwenda kuvipokea. Embu tukusikie ukisema nayo aliyoyafanya nyerere ya kupokea hizo degrees nayo ilikuwa characteristics of dictators! Ahhhhh hapo utakuwa uanenda kinyume na mafundisho ya kanisa na kamwe huwezi kumnyooshea kidole dictator wa kweli, aliyepiga marufuku vyama vya siasa na vyama vya wafanyakazi, kujaza wafungwa wa kisiasa jela na watanzania wengi kuishi nje ya nchi kama wakimbizi wa kisiasa!
![]()
President Jakaya Kikwete - an honorary degree
Posted by Admin
Friday, December 19, 2008 (UMST) The Chancellor of Kenyatta University, Dr Harris Mule, confers an honorary degree of Kenyatta University Doctor of Humane Letters on President Jakaya Kikwete in Nairobi on friday.
The president was conferred the degree in recognition of his efforts to solve conflicts and ensure peace in Africa.
uache jazba wewe huo udokta aliopewa Kikwete amepewa na chuo ambacho hakiko accredited sio... na pia huo udaktari wa Kawawa (post humously) unatoka wapi wakati hakuwa hata na diploma... watu wasio na akili bwana... kabalaghabao
Na Masters alikuwa awarded na nani na chuo gani?
Kwa sababu watu wenye roho korosho na roho mbaya zilizojaa husda, wivu na gere kama wewe na wengine wengi kama wewe walikuwa ima hawapo kwa wingi kama mlivyo sasa AMA walikuwa wamezibwa midomo yao. Wakati wa utawala wa Nyerere wewe na familia yako nzima mngeishia kunyia kwenye kopo.
Hiyo ni heshima aliyopewa na Chuo Kikuu kilichompa hiyo degree ya heshima. Sasa kama wewe inakukera sana basi una options mbili. Moja ni kukaa kimya a.k.a. kufunga domo lako. Option ya pili ni kutafuta kamba na kujinyonga! First option inahitaji uvumilivu na kama ulivyoonyesha kuwa huna uvumilivu basi option ya pili ni best option for you! Make sure unaandika good suicide note ili ufikishe ujumbe kwa watu wengi kisa na sababu kilichokufanya uchague option ya pili. Best wishes!