JK na Shahada za heshima


You ar th Great Thinker 4 ril
 

Hapi ni bora liende tuu.
 
Yule aliye kulia mwa Mzee wa Mikasi mbona km kalazimishwa kushika utepe au mnamwonaje?
 
hii lina maana the opposite is true... si unajua wataalam hawaachi kumdanganya msanii!
 
pumba tupu yani chuoo kizima pale wapumbavu nyie watu wawili hum ndoo wajuzi ama kweli waathirika wa 31 kazi kwelkweli:teeth::teeth::teeth:
 
Badilisha tu kijana jina lako , ulilikosea usione aibu kwani ndio malipo ya vilaza wanapokosea. Naomba kajiandikishe Elimu ya watu wazima inatolewa bureee

Acheni marumbano nyie hebu tuchangie hoja watu waelimike.
 

Motive inapokuwa ni kujipendekeza zaidi ndio hivyo inabidi mkate utepe kutokea ndani kuelekea nje. Halfu bila kufanya hivyo unadhani wange uza sura vipi?
 
hii itakua ya ajabu zaidi
 
mkuu shahada ya heshima inatolewa na chuo ambacho kimeshatoa shahada kama hiyo hiyo academically na siyo honorary ...... UDOM wameshatoa shahada ya udaktari wa falsafa before??????????????????
Hata mimi nimeshangaa sana hilio, mahafali ya kwanza wameshaanza kumpatia JK udaktari? Hiyo kasi.....
 
pumba tupu yani chuoo kizima pale wapumbavu nyie watu wawili hum ndoo wajuzi ama kweli waathirika wa 31 kazi kwelkweli:teeth::teeth::teeth:
unaelewa maana ya WAPUMBAVU!? Anayejiona amesimama haangalie asianguke
 
sababu ya JK kupewa hiyo PHD ni MCHANGO WAKE MKUBWA KATIKA SEKTA YA ELIMU
Mchango wake katika secta ya Elimu kwa kuidi-dimiza zaidi. Sasa hivi kuanzia shule za Misingi mpaka Chuo kikuuu Elimu imeshuka, iko chini ya Viwango. Unafiki na Uongo utaliangamiza hili Taifa.
 
vyuo vyote si wampe hata mbili mbili ? Anazipenda sana
 
Waungwana,

UDOM hata haijaruhusiwa kuanza kutoa masters, iweje itoe Ph.D ingawa ni ya heshima? hapa utaratibu umekiukwa, kwani hawa hawana uwezo wa kutoa hizo doctorate, tunakwenda wapi hata maadili tusifate, jamani?
 
mkuu shahada ya heshima inatolewa na chuo ambacho kimeshatoa shahada kama hiyo hiyo academically na siyo honorary ...... Udom wameshatoa shahada ya udaktari wa falsafa before??????????????????

acha kutudanganya mkuu, kwa hiyo wewe ndio unajua sana kuliko ma professor wote waliopo pale? Hiyo sheria umeitoa wapi? Nukuu tafadhali....
 
Ina maana vyuo vya bongo ambavyo havijampa Mkwere hiyo kitu havitapewa kipaumbele na sirikali yake??:redfaces:
 
waungwana,

udom hata haijaruhusiwa kuanza kutoa masters, iweje itoe ph.d ingawa ni ya heshima? Hapa utaratibu umekiukwa, kwani hawa hawana uwezo wa kutoa hizo doctorate, tunakwenda wapi hata maadili tusifate, jamani?


haijaruhusiwa kutoa masters???

kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, ni vyema ukafanya utafiti kabla hujapost kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…