Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
Anaenda pale kuchekacheka tu kama kawaida yake,mambo ya maana kwa watanzania kwake hayana maana
Sitoshangaa kama hata suala la sheria ya katiba mpya akiikalia kimya
Anaenda pale kuchekacheka tu kama kawaida yake,mambo ya maana kwa watanzania kwake hayana maana
Rais alikuwa nje ya nchi karudi juzi tu sasa ulitaka awahutubie wananchi akiwa Marekani...subiri hotuba leo mtamsikia rais.
Sitoshangaa kama hata suala la sheria ya katiba mpya akiikalia kimya
Sitoshangaa kama hata suala la sheria ya katiba mpya akiikalia kimya
Rais alikuwa nje ya nchi karudi juzi tu sasa ulitaka awahutubie wananchi akiwa Marekani...subiri hotuba leo mtamsikia rais.
Agusie yafuatayo kama mkuu wa nchi;
1) Tanzania kutengwa ktk ushiriki wa maamuzi ya EAC
2) Uamuzi wa serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania
3) Uamuzi wa TRA kuendelea na kudai kodi ya laini za simu
4) Hali ya usalama wa nchi kama amri jeshi mkuu hasa tishio la ugaidi (namna tulivyojipanga) na wimbi kubwa la ujambazi
5) Maoni yake kuhusu shinikizo la wananchi kutosaini mswada wa katiba mpya
6) Hatua maalum ilizozichukua serikali kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.
kuliko kuwa na watoto kama hawa wazazi wao bora wangezaa ushuzi wakautumia kuanzisha kampuni za pafyum.Mnafikiri kwa kuwa nyinyi mnauana ndio kila mtu, mnauana kwa kukolimbiana lakini kwa dawa feki za ukimwi, wamejaa wagonjwa watupu huko halafu bado mnauza na dawa feki za ukimwi, nasikia babu amesema anaanza tena kutoa kikombe badala ya kwenda Marekani mwende kwa babu sasa.
Kwani jk anatunga katiba au sheria haya mambo yalishaisha bungeni kinachoendelezwa ni utovu wa nidhamu kukaa mnapiga kelele.Sitoshangaa kama hata suala la sheria ya katiba mpya akiikalia kimya
Nenda hai kwa watalamu wa matusi na kwa mzee mtei.kuliko nimsikilize huyo bora niwatafute watu wanaotukanana niwasikilize.
Akili za bawacha hizi.Hotuba yake itajaa story za safari zake na namna Tanzania ilivyoahidiwa misaada na wajomba zetu huko ughaibuni huku akiwabeza wapinzani kuwa "halafu wanasema hatufanyi kazi!" Ngoja tumsikie....