JK kuhutubia taifa kesho usiku

JK kuhutubia taifa kesho usiku

nafikiri masogange atasifiwa kwa kugundua fursa ya kusafirisha Ephedrine na kuichangamkia na kama sio roho mbaya za wabongo sasa hivi angekuwa na utajiri wa bilion 6 w
 
Binafsi sina muda wa kumsikiliza maana mambo ya msingi huwa anayasema kimzaa na wakati mwingine kutoyagusia kabisa! Naweza kuweka hela kwamba muda mwingi ataelezea safari zake za nje na opereshen iliyofail (kimbunga)

mkuu hata kimbunga kwako imefeli..lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ana cha maana cha kuongea kweli? Eti anataka kuhutubia taifa wakati kila kukicha yeye anashinda nje ya nchi tu kutalii. Anajuaje kama wananchi wake wana matatizo au nchi iko kivipi wakati yeye hataki kutawala nchi?
 
Watu wengine majanga kweli mkuu unalalamika eti mwezi umemalizika rais hakuwepo karudi punde tu ulitaka afanye nini ahutubie akiwanjiani anarudi au akiwa marekani.
 
Zege halilali. Rais hajapumzika, moja kwa moja kuongea na wananchi wake. Vivaaaaaa

Kwani hotuba ya kuandikiwa na kusoma inahitaji muda wa kupumzika na kutafakari? Ni sawa tuu na mimi nikitoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima sihitaji kupumzika ili kusoma gazeti la Nipashe nyumbani.
 
Ana cha maana cha kuongea kweli? Eti anataka kuhutubia taifa wakati kila kukicha yeye anashinda nje ya nchi tu kutalii. Anajuaje kama wananchi wake wana matatizo au nchi iko kivipi wakati yeye hataki kutawala nchi?
Wewe unayeshinda jikoni kutwa kuonja chumvi na kufukuzana na wapishi unafaida gani akili za bavicha bwana.
 
Kwani hotuba ya kuandikiwa na kusoma inahitaji muda wa kupumzika na kutafakari? Ni sawa tuu na mimi nikitoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima sihitaji kupumzika ili kusoma gazeti la Nipashe nyumbani.
Kwani kuandika utaandika ukiwa umelala we hewa kweli kila kitu kinataka mda hakuna kisichotumia mda.
 
Watu wengine majanga kweli mkuu unalalamika eti mwezi umemalizika rais hakuwepo karudi punde tu ulitaka afanye nini ahutubie akiwanjiani anarudi au akiwa marekani.

Isije kuwa hotuba hiyo anaisomea pale Airport Vip lounge huku ndege inamsubiri kwa safari nyingine. Yaani inanikumbusha zamani nilikuwa na mjomba kondakta wa mabasi ya Shengena alikuwa hatulii nyumbani yeye ni safari tuu.
 
Isije kuwa hotuba hiyo anaisomea pale Airport Vip lounge huku ndege inamsubiri kwa safari nyingine. Yaani inanikumbusha zamani nilikuwa na mjomba kondakta wa mabasi ya Shengena alikuwa hatulii nyumbani yeye ni safari tuu.
Ndio aliekuharibu akili hadi sasa. Nenda hospitali
 
buku 7 wanatoka mapovu kweli, wakat ata mkwele mwenyewe ajasema kitu..... Ila sintamsikiliza kwan hakuna nitakachoongeza kama mtanganyika mimi zaid ya masifa yake
 
Kikwete ni jembe

inanikumbusha siku ya mkutano wa simba rage aliongea sana safar zake za nje tuuuu na mipesa alivyouza wachezaji wakati timu ikiwa na hali mbaya sana, ila kuna mwanachama bibi hindu akasimama na kumhuliza swali zuri sana kuwa KWANINI TUSITAFAKARI KUHUSU SIMBA ILIVYOKUWA, SASA NA BAADAYE KULIKO SAFAR ZAKO rage akamtishia kumfuta uanachama, ndio leo
 
Hana jipya, nawashauri msiache shughuli zenu kumsikiliza
 
Ina maana Mkuu wa Kaya amerudi kusoma hutuba alafu akaendelee na safari tour yake itakayoisha 2015?
 
Kwani hotuba ya kuandikiwa na kusoma inahitaji muda wa kupumzika na kutafakari? Ni sawa tuu na mimi nikitoka kwenye mihangaiko ya kutwa nzima sihitaji kupumzika ili kusoma gazeti la Nipashe nyumbani.

Well stated mku
 
Back
Top Bottom