JK kuhutubia taifa kesho usiku

JK kuhutubia taifa kesho usiku

Agusie yafuatayo kama mkuu wa nchi;

1) Tanzania kutengwa ktk ushiriki wa maamuzi ya EAC
2) Uamuzi wa serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania
3) Uamuzi wa TRA kuendelea na kudai kodi ya laini za simu
4) Hali ya usalama wa nchi kama amri jeshi mkuu hasa tishio la ugaidi (namna tulivyojipanga) na wimbi kubwa la ujambazi
5) Maoni yake kuhusu shinikizo la wananchi kutosaini mswada wa katiba mpya
6) Hatua maalum ilizozichukua serikali kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.


Nakuunga mkono kwa hoja zako, ila naongezea aseme kwanini Zanzibar ilitengwa katika kusikilizwa katika maoni ya Katiba mpya jambo lililozua mvutano mkubwa Bungeni.
 
Shime tujiandae kumwona handsome boy wetu na tabasamu lake paaana na kujichekeleshachekelesha kama kawa.
Ndugu wananchi msikose!
Wenu,
Salva Rweyemamu.
 
inanikumbusha siku ya mkutano wa simba rage aliongea sana safar zake za nje tuuuu na mipesa alivyouza wachezaji wakati timu ikiwa na hali mbaya sana, ila kuna mwanachama bibi hindu akasimama na kumhuliza swali zuri sana kuwa KWANINI TUSITAFAKARI KUHUSU SIMBA ILIVYOKUWA, SASA NA BAADAYE KULIKO SAFAR ZAKO rage akamtishia kumfuta uanachama, ndio leo

umenikumbusha mkuu watawara bwana.
 
Kwani Wassira na Chikawe wamempa ruhusa?

Basi aje atuhutubie hata Wasira kwa niaba ya Rais kwa sababu Chama na serikali iliyopo madarakani mtu yeyote ni msemaji...!
 
Rais alikuwa nje ya nchi karudi juzi tu sasa ulitaka awahutubie wananchi akiwa Marekani...subiri hotuba leo mtamsikia rais.

Nyie kweli vichaa huyo alietoa press release halikuwa hajui kama ra-hisi yupo marekani? Hv ritz unaish wapiii na umesoma hadi darasa la ngapi we ritz weeeee, buku 7 ni tgs inayokufaa kabisa kulingana na upeo wako
 
Back
Top Bottom