JK kuhutubia taifa kesho usiku

JK kuhutubia taifa kesho usiku

Mbona mara kibao tu wanatuwekea CD wakati jamaa yuko majuu? Hivi yeye huwa ni ulaya na marekani tu kwa nini hafanyi ziara kwenye nchi zingine za kiafrika kama Botwana, Angola, Rwanda, Mali, Ghana nk? Kunanini ulaya?

Ataomba nini nchi za kiafrica na degree zao haziheshimiki,
 
anapoteza muda tu bora angebaki huko marekani.....
 
hivi mwenye mtindio wa ubongo anauwezo wa kushangaa?


Mbona hapa mnajadili kuhusu hotuba ya Mwenye mtindio wa Ubongo?

Au unadhani aliyo nayo mtalii ni mtindio wa Bongo?

Hivi mtu mwenye neurological disorder unafikiri ana akili timamu?

Only in Tanzania.
 
Unadhani slaa na jk ni wamoja au mkapa na jk ni wamoja,
ndiyo maana jk ni rais slaa ni mwanaharakati .

...we bwana mdogo elewa mada kabla hujakurupuka,kwa tofauti yoyote ile mwisho wa siku kashindwa kuhutubia kwakuwa hotuba ya kwanza ilikuwa imekaa sivyo,kamuone dogo january atakufundisha ninachosema hutaki kalale...
 
Rais Kikwete leo usiku ameamua kuhutubia taifa ikiwa ni hotuba ya mwisho wa mwezi septemba pamoja na kwamba mwezi umemalizika.

Moja ya mambo tunayotarajia kupewa uzito ni swala la kusainiwa kwa muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba. Nikipata full text mapema nitawamwagia hapa jamvini.

Stay tuned

=========
Update:


TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS ILIYOKUWA ITOLEWE LEO, JUMATANO, OKTOBA 2, 2013, SASA ITATOLEWA KESHO, OKTOBA 3, 2013. TUNAOMBA RADHI KWA MABADILIKO HAYO NA TUNAWAOMBA MSIITUMIE ILE PRESS RELEASE YA KWANZA. KWA MARA NYINGINE, TUNAOMBA RADHI.

ASANTENI

SALVA RWEYEMAMU
MKURUGENZI WA MAWASILIANO
IKULU,
DAR ES SALAAM.
2 OKTOBA, 2013

Kuna wakati namwangalia Salva Rweymamu najiuliza mbona wanasema wahaya huwa wana akili akili zenyewe ndio hizi za kikwete kuambiwa na obama kuwa ni "kaka na rafiki wa kweli" unatoa press release??? Ila chadema wakitoa press release ya kupinga kufungiwa kwa vyombo vya habari wanakuja wenye ufinyu wa akili kusema chadema ni chama cha matamko. Hii ikulu kwa awamu hii imepoteza hadhi kbs
 
Rais alikuwa nje ya nchi karudi juzi tu sasa ulitaka awahutubie wananchi akiwa Marekani...subiri hotuba leo mtamsikia rais.

Mhe. ni wapi kwenye andiko lake alipotanabaisha kwamba alitaka ilo lifanyike?But any way hayanihusu kwani sitamsikiliza wala kuangalia naona ni siasa tupu wakati si mmoja wa politician!
 
Hivi bado kuna watu wana pay attention kusikiliza hotuba za Kikwete za kila mwezi?
Wengi wetu tulishazishoka kwani hazina tija wala majibu ya maswali mengi kuhusu utendaji mbovu wa serikali ya Kikwete.
Mbaya zaidi huwa zinaleta utata kwani zimejaa Fix, vijembe na poroho za kufa mtu.
 
========= TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS ILIYOKUWA ITOLEWE LEO said:
This is very serious! Hivi kweli huyu Salva Rweyemamu ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu?

This is real a big shame, Mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu hajui hata etiquette za mitandaoni?!! Hivi tunamlipa pesa ya nini mtu kama huyu?!

Kuandika kwa herufi kubwa mtandaoni maana yake ni kupiga kelele (shouting). Sasa Salva alikuwa anampigia kelele nani? Sisi Watanzania tumekuwa watoto zake? au mke wake?! Poor Salva Rweyamamu.
 
the old man is no presidential material ukifatilia hata speech zake utagundua tone yake sio presidential as well,speech zake huwa zimejaa mizaha na mipasho,poor kikwete,that seat is too big for you kinachokulinda ni likatiba letu la ovyo..
 
Huo Muda nitakuwa Bar nikicheza Pool table
 
nadhani atagusia pia ile kile kimiminika haramu..'tindikali'
 
Rais Kikwete leo usiku ameamua kuhutubia taifa ikiwa ni hotuba ya mwisho wa mwezi septemba pamoja na kwamba mwezi umemalizika.

Moja ya mambo tunayotarajia kupewa uzito ni swala la kusainiwa kwa muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba. Nikipata full text mapema nitawamwagia hapa jamvini.

Stay tuned

=========
Update:


TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS ILIYOKUWA ITOLEWE LEO, JUMATANO, OKTOBA 2, 2013, SASA ITATOLEWA KESHO, OKTOBA 3, 2013. TUNAOMBA RADHI KWA MABADILIKO HAYO NA TUNAWAOMBA MSIITUMIE ILE PRESS RELEASE YA KWANZA. KWA MARA NYINGINE, TUNAOMBA RADHI.

ASANTENI

SALVA RWEYEMAMU
MKURUGENZI WA MAWASILIANO
IKULU,
DAR ES SALAAM.
2 OKTOBA, 2013
Siyo kazi yako kutuambia.
 
rais alikuwa nje ya nchi karudi juzi tu sasa ulitaka awahutubie wananchi akiwa marekani...subiri hotuba leo mtamsikia rais.

tunapenda kuwajulisheni kuwa hotuba ya mwezi ya mheshimiwa rais iliyokuwa itolewe leo, jumatano, oktoba 2, 2013, sasa itatolewa kesho, oktoba 3, 2013. Tunaomba radhi kwa mabadiliko hayo na tunawaomba msiitumie ile press release ya kwanza. Kwa mara nyingine, tunaomba radhi.

asanteni

salva rweyemamu
mkurugenzi wa mawasiliano
ikulu,
dar es salaam.
2 oktoba, 2013
 
Back
Top Bottom