Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Kamanda in chifu ana "rap" saa ngapi wana jf?
Kamanda KASANDA!
Kamanda in chifu ana "rap" saa ngapi wana jf?
Kamanda in chifu ana "rap" saa ngapi wana jf?
Rais Kikwete leo usiku ameamua kuhutubia taifa ikiwa ni hotuba ya mwisho wa mwezi septemba pamoja na kwamba mwezi umemalizika.
Moja ya mambo tunayotarajia kupewa uzito ni swala la kusainiwa kwa muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba. Nikipata full text mapema nitawamwagia hapa jamvini.
Stay tuned
=========
Update:
TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS ILIYOKUWA ITOLEWE LEO, JUMATANO, OKTOBA 2, 2013, SASA ITATOLEWA KESHO, OKTOBA 3, 2013. TUNAOMBA RADHI KWA MABADILIKO HAYO NA TUNAWAOMBA MSIITUMIE ILE PRESS RELEASE YA KWANZA. KWA MARA NYINGINE, TUNAOMBA RADHI.
ASANTENI
SALVA RWEYEMAMU
MKURUGENZI WA MAWASILIANO
IKULU,
DAR ES SALAAM.
2 OKTOBA, 2013
Naombeni msaada kwenye rangi nyekundu, hivi tarehe hiyo bado haijafika au ndo KAMANDA AMESANDA au KASEPA?:shut-mouth:
Mbio zimemuokoa..!
Naombeni msaada kwenye rangi nyekundu, hivi tarehe hiyo bado haijafika au ndo KAMANDA AMESANDA au KASEPA?:shut-mouth:
Kweli Rais wetu kwa woga haina mfano. Lakini tujiandae hakawii kuhutubia Rufiji kile ambacho alitaka kuwaambia watanzania wote, jamaa mwoga sana so anatafuta forum dhaifu ili akayasemee hukoSiku nyngne msiwe mnatoa taarifa kabla, angalia sasa alivyotimua mbio, ni vumbi tu naliona.