kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,221
Ukisikia kubwa jinga ndio wewe. Damu za watanzania zimewafanya mataahira, kuwauzia dawa feki za ARVs, kuwapiga mabomu, mlifikiri mtanusurika, hizo ndio dalili zenyewe za wehu, Slaa amewafanya vibaya na bado.Atazungumzia ufujaji wa ruzuku ya chama unaofanywa na slaa kwenda kutumbua na hawara yake nje ya nchi
Kuhusu hotuba ya huyo mzururaji, haina jipya na watu wenye shughuli zetu hatuwezi kupoteza muda kumsikiliza, atasikilizwa na majobless na mapunda kama nyie.