JK, Katuni 1=Maneno 1000,Watch Out

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Nimeiangalia sana hii katuni, imeleta ujumbe mkali sana kwa serikali ya JK, hiyo shuka ya mgonjwa ina tafsiri nyingi sana, zinazotukumbusha kipindi cha uchaguzi kwamba vitu vya kuhongwa like khanga , kofia, t-shirts , shuka nk ndizo zinazotuzika sisi kama sisi na pia serikali iliyo madarakani...

Endeleeni utoa tafasiri zaidi ya maneno 1000. Watch Out J.K


5bpngl.jpg
 
Wanainchi tuna hasara sana serikali iliyopo madarakani.
Tena hasara kubwa sana!!!!!!!!!
 
Sikio la kufa halisikii dawa!....Njia ya huyo mgonjwa imenyooka kabisa, ndiyo safari hivyo ati!

Kiukweli lengo la kikao hicho sio kujadili katiba ya CCM, hoja ya kujadili katiba ya CCM sio hoja ya kidharura kihivyo!.

Lengo la kikao hicho ni ku practice Party Supremacy over the government!. Baada ya ile kanuni ya chama kushika hatamu kufutwa, kwa sasa taifa liko katika hali tete ya mgomo wa madaktari, JK ambaye ndiye mkuu wa the executive alitakiwa awe amesha intervene tangu hajaenda Davos!. Akiwa Dovos akatoa maelekezo kwa Pinda kufanya alichokifanya, aliporudi tuu hii ndio ingekuwa priority no.1 kudeal nayo ikiwemo kufanya maamuzi magumu lakini due to his weakness hakufanya lolote!.

The weak are always scared, hivyo anaitisha NEC ya CCM ili kupata baraka za maamuzi makubwa anayopanga kuyafanya ikiwemo kulivunja baraza la mawaziri au kufanya mabadiliko makubwa!.

Yametimia, JK is weak and scared to give concrete desicive action. He is scared to die.
 
Teh teh.
Kianya mbunifu sana.
Ni kweli mgonjwa atakufa
 
Yametimia, JK is weak and scared to give concrete desicive action. He is scared to die.


Mkuu umesahau eeeh! Nanukuu, " I might be wearing a smiling face, but I am firm on serious matters". Mwaka wa saba sasa bado tunasubiri kuuona huo ujasiri kwenye serious issues!!
 
Ukiona mtu anatumia zaidi nguvu ya mamlaka ni dhahiri hana uwezo wa kujenga hoja ya utetezi na lengo ni kuzima nguvu ya hoja kwa kutumia hoja ya nguvu.
 
attachment.php


@Paka Jimmy,
hii ndio falsafa yangu;

"Ukiona mtu mzima anatumia zaidi nguvu ya mamlaka na mabavu ni dhahiri hana uwezo wa kujenga hoja ya utetezi na lengo ni kuzima nguvu ya hoja kwa kutumia hoja ya nguvu."
 
Na hii ni furaha au huzuni yakutimiza miaka 35 ya chama chao? muone huyo mama wa kwanza kutoka kushaoto halafu niambie!
Huzuni au Furaha.jpg
 
Katika kuazimisha miaka 35 ya chama chao je huyo mama kutoka kushoto anafurahia au anahuzunika?

attachment.php
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom