JK azindua kitabu cha wasifu wake!!!!

Alaa, kumbe ana positive side?

Negative wanaiona mahasidi tu.

Kila mtu ana positive side na neg side. kuanzia kwenye family level. Hizo positivity ni according to who???? majority au minority??? Au kipindi JK akiwa Waziri??? au kwenye familia yake???? Kifupi kila mtu ana jema kwa aliowafanyia wema na mabaya kwa aliowafanyia mabaya. Cha msingi ni kuangalia Number ya wema na number ya hao walioneemeka na wema wako..............
 
sometimes watu nasi tuwe reasonable......sidhani kama chuki na dharau zitatusaida kwa sasa!


Kila mtu anahaki ya kuchagua mtu wa kumkubali. JK amelazimisha kuwa raisi kwa kura ambazo ni yeye tu na wapambe wake wanaojua walizipataje. 2 plus 2 huwa ni nne. JK amelazimisha 2 plus 2 iwe saba na bahati mbaya Dactaroli JK amekataa kusema kagundua kanuni mpya ya hesabu. "Bwana mtake msitake lazima 2 plus 2 iwe saba.

Sasa na wewe unachokileta hapa ni ubabe huo huo unataka tutake tusitake lazima tumpende na kumheshimu jk. For your informationto be loved and to get respect depends much on how one brands him/her self. As for now, hutalazimisha watu wapige makofi ya kushangilia pumba za jk. Ni watu wasiokuwa na uwezo wa ku fikiri na ku reason peke yao watalazimishwa kufagilia kitabu cha wasifu wa mtu aliyejaa kashfa na unafiki.

JK ni mtu mbinafsi anayefanya mambo yote kwa maslahi yake binafsi. Na anapenda kusifiwa kama mtoto.
Zaidi ya yote pamoja na kuwaumiza watu hataki kuona watu waseme ubovu wake. Ubadhilifu wa mali za uma, utendaji kazi mbovu, ubinafsi na udictator wake sasa anajikosha kwa kuandika kitabu.

Personally sina munda wa kusoma habari zake kwani hana maana. Hakuna kitu nitapata kwa sababu sina cha kujifunza toka kwake. Wala hana la kuniburudisha. Kama anataka watu wasome aandike kitabu cha ufafanuzi juu ya "Anguko la CCM". Aeleze jinsi ufisadi ulivyoanza kuingia na kusharimiri ktk Serikali ya CCM na kudumaza maendeleo ya Watz. Brainwashing strategies zilizotumika kuwafanya wa Tz kama wewe hapa waendelee kupiga makofi ya kushangilia watawala huku ndugu zao wakifa kwa kukosa huduma za afya. Watz wakipiga makofi kushangilia elimu imekuwa kwa kuwa kuna shule nyingi za kata bila kuona kwamba hizo ni kambi zilizolenga kupunguza vijana wazururaji na vibaka mitaani na si sehemu ya kupata elimu. Azungumzie jinsi jopo lake na mafisadi wenzake walivyojipanga kuibia nchi kwa makampuni na mikataba ya wizi. Aseme namna anavyotumia muda wake wa kukaa ikulu kuwalinda mafisadi na kuwashamirisha ili waendeleeze utawala vizazi vyao vyote. Namna wanavyolinda mtaji wao wa kuendelea kuteketeza nchi ambao ni "ujinga endelevu wa wa Tz."

Kinyume cha hapo mpenzi, sioni anaujasiri gani wa kuandika kitabu cha kujifagilia kama si kukosa aibu na kuzidi kuonyesha dharau zake kwa wa Tz. Kwamba wote ni wajinga wasioweza kufikiri wala kuelewa mambo anayofanya yeye na serikali yake.

"Dharau na chuki hazisaidii kwa sasa" una maana gani? Unafiki na kujikomba kwa mafisadi ni dalili ya kukosa ufahamu na kujitoa muhanga ufe kijinga.

It is too late. Kitabu hicho wagawieni mafisadi wenzenu mliopanga nao namna ya kuunda mazingira mabovu yakuwatengenezea mlango wa wazi wa kuibia taifa kwa mlango wa Dowans. sisi hatuna interest na unafiki wenu. If possible wagawieni hao waliopewa madaraka kama u DC, Ubunge nk kwa ajili ya kulipwa fadhila.

Sis watz hatuna hisa kweny hayo mambo yenu. Huko huko, usitulamishe kumpenda na kumheshimu mtu aliyeshindwa kujiheshimu mwenyewe.

Tena hii thread iishe. Hatuna muda wa kumjadili jk na mamluki wake.
.
 
Hivi hicho kitabu kinahusu sehemu gani ya maisha yake?


Haikosi ni wakati yeye, salma na ridhwani walipoanza mchakato wa kuuza nchi kwa wageni. Kipindi walipofanya mikataba ya siri ambayo hata ccm na viongozi wengine wa serikali hawakuijua. Jk ni mwovu!
 
Hakuna mtu niliekua namheshimu kama huyu Prof, nilikua namuona rational kumbe ni makapi matupu, sio aajabu ukute kahongwa au kajipendekeza kama kawambwa alieacha kufundisha engeering -udsm na kukimbilia siasa, huyu nae baada ya kuandika na kufanya tafiti ndo anatuandikia sumu hii, hivi kwani ni lazima anachofanya SLAA lazima na CCM wafanye? paambaa ffffuuuu
 
Icho kitabu ni aibu tupu, au anadhani hako kaudokta cha kupewa ndo lazima uwe na kitabu cha kijishaua? ni aheri ninue vile vijarida vya katuni nijichekee mie. Au ndo kaandika kuawa AMETUTOA PALE NA AMETUFIKISHA HAPA?? nadhani atakua ameandika jinsi alivyo betua kura za wapinzani na kuingia madarakani. Riziwani pekee atanunua kitabu icho.
 
HASIDI HANA SABABU
Waulize wanaomchukia jk wanazo sababu?
Naamini wengi wangetamani kupata mafanikio kama yake walau kukaa ikulu japo siku moja lakini si kila mtu anaweza kupata bahati hiyo.Sasa kwanini mnamchkia mkwere wa watu?Mlitakaje hasa?
"Mti utoao matunda ndio hupigwa mawe"
Wewe unayemchkia hata uwezo wa kuongoza kijiji huna wala hujulkani popote,ukifa leo ndo basi hakuna wa kukukumbuka.Lakin jk ndo ameshaingia kwenye historia ya nchi hii.
 
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .



Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...


Source:MICHUZI

Tunapenda kumpongeza sana Prof. Nyangoro kwa kuweka utaifa na uzalendo wake mbele kwa kuweka kumbukumbu za viongozi wetu. Kama alivyo sema yeye kitabu cha namna hiyo kilikuwa hakijawahi kuandikwa tangu isipokuwa enzi za Mwalimu. Napenda kuwahabarisha tu nimekwenda pale Chuo Kikuu kitabu kinanunuliwa kama njugu tofauti na mawazo dhalili ya watu humu JF. Nipo nakisoma sasa, kwa kweli Mwandishi ameandika vizuri sana, sasa na kwa wale waliokuwa wakisema Slaa ni zaidi ya JK wasome hiki kitabu kwa kweli ni sawa sawa na kulinganisha Hekalu (JK) na nyumba ya tembe (Slaa).
 
Haikosi ni wakati yeye, salma na ridhwani walipoanza mchakato wa kuuza nchi kwa wageni. Kipindi walipofanya mikataba ya siri ambayo hata ccm na viongozi wengine wa serikali hawakuijua. Jk ni mwovu!

Kanunue ukisome , Prof. ameandika mambo ya maana sana, mie nilikuwa sijui JK ameifanyia mambo mema kiasi hiki nchi hii tangia utotoni wake. Kweli CHAGUO LA WANAADAM NI CHAGUO LAMUNGU
 
Tunapenda kumpongeza sana Prof. Nyangoro kwa kuweka utaifa na uzalendo wake mbele kwa kuweka kumbukumbu za viongozi wetu. Kama alivyo sema yeye kitabu cha namna hiyo kilikuwa hakijawahi kuandikwa tangu isipokuwa enzi za Mwalimu. Napenda kuwahabarisha tu nimekwenda pale Chuo Kikuu kitabu kinanunuliwa kama njugu tofauti na mawazo dhalili ya watu humu JF. Nipo nakisoma sasa, kwa kweli Mwandishi ameandika vizuri sana, sasa na kwa wale waliokuwa wakisema Slaa ni zaidi ya JK wasome hiki kitabu kwa kweli ni sawa sawa na kulinganisha Hekalu (JK) na nyumba ya tembe (Slaa).


Weka ushahidi hapa tuone kama kweli kinanunuliwa kama njugu. Si una fweza za walipa kodi weka video tuone hiyo tafrani. Watanzania wakanunue kitabu cha Mwizi! You must be joking.
 
Kingekuwa free copy, kwenye ndege, bar, clubs etc

Je kinazungumzia uchakachuaji? 2 thousand & 10 . election.
 
Ana vingi vya kuandikwa juu ya wasifu wa maisha yake.

Kwa ufupi, he is a born leader, kuanzia shule mpaka kuwa Rais wa watu kama wewe, he must be something.

Nakifata nikakinunuwe kabla nakala za mwanzo hazijaisha.
Kalagabaho.


Kasome uongezee ujinga!
 
HASIDI HANA SABABU
Waulize wanaomchukia jk wanazo sababu?
Naamini wengi wangetamani kupata mafanikio kama yake walau kukaa ikulu japo siku moja lakini si kila mtu anaweza kupata bahati hiyo.Sasa kwanini mnamchkia mkwere wa watu?Mlitakaje hasa?
"Mti utoao matunda ndio hupigwa mawe"
Wewe unayemchkia hata uwezo wa kuongoza kijiji huna wala hujulkani popote,ukifa leo ndo basi hakuna wa kukukumbuka.Lakin jk ndo ameshaingia kwenye historia ya nchi hii.

Atakumbukwa kwa kuwa Rais kilaza kuliko wote!
 
Back
Top Bottom