Alaa, kumbe ana positive side?
Negative wanaiona mahasidi tu.
When did Dr. Nyang'oro left Tanzania? Is he still connected with the people of Tanzania? .
nitakinunua siku toilet paper zikiadimika madukani
sometimes watu nasi tuwe reasonable......sidhani kama chuki na dharau zitatusaida kwa sasa!
Hivi hicho kitabu kinahusu sehemu gani ya maisha yake?
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
Haikosi ni wakati yeye, salma na ridhwani walipoanza mchakato wa kuuza nchi kwa wageni. Kipindi walipofanya mikataba ya siri ambayo hata ccm na viongozi wengine wa serikali hawakuijua. Jk ni mwovu!
Hivi hicho kitabu kinahusu sehemu gani ya maisha yake?
Nitakinunua siku TOILET PAPER zikiadimika madukani
Nitakinunua siku TOILET PAPER zikiadimika madukani
Tunapenda kumpongeza sana Prof. Nyangoro kwa kuweka utaifa na uzalendo wake mbele kwa kuweka kumbukumbu za viongozi wetu. Kama alivyo sema yeye kitabu cha namna hiyo kilikuwa hakijawahi kuandikwa tangu isipokuwa enzi za Mwalimu. Napenda kuwahabarisha tu nimekwenda pale Chuo Kikuu kitabu kinanunuliwa kama njugu tofauti na mawazo dhalili ya watu humu JF. Nipo nakisoma sasa, kwa kweli Mwandishi ameandika vizuri sana, sasa na kwa wale waliokuwa wakisema Slaa ni zaidi ya JK wasome hiki kitabu kwa kweli ni sawa sawa na kulinganisha Hekalu (JK) na nyumba ya tembe (Slaa).
Ana vingi vya kuandikwa juu ya wasifu wa maisha yake.
Kwa ufupi, he is a born leader, kuanzia shule mpaka kuwa Rais wa watu kama wewe, he must be something.
Nakifata nikakinunuwe kabla nakala za mwanzo hazijaisha.
Kalagabaho.
HASIDI HANA SABABU
Waulize wanaomchukia jk wanazo sababu?
Naamini wengi wangetamani kupata mafanikio kama yake walau kukaa ikulu japo siku moja lakini si kila mtu anaweza kupata bahati hiyo.Sasa kwanini mnamchkia mkwere wa watu?Mlitakaje hasa?
"Mti utoao matunda ndio hupigwa mawe"
Wewe unayemchkia hata uwezo wa kuongoza kijiji huna wala hujulkani popote,ukifa leo ndo basi hakuna wa kukukumbuka.Lakin jk ndo ameshaingia kwenye historia ya nchi hii.