Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Ana vingi vya kuandikwa juu ya wasifu wa maisha yake.
Kwa ufupi, he is a born leader, kuanzia shule mpaka kuwa Rais wa watu kama wewe, he must be something.
Nakifata nikakinunuwe kabla nakala za mwanzo hazijaisha.
Kalagabaho.
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
Wewe hata hadithi ya Kalumekenge huwezi kusoma itakuwa kitabu?100%
Andika chako.
Kuna Prof amekosoa sana kuwa mapungufu hayajaongelewaaa...kabisaa!!!!wameongea positive side tuuu....huyo mhariri ametoa changamoto
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
JK akizundua vitabu viwili (cha kiingereza na kiswahili) kwa wageni waliohudhuria hafla hiyo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho akishuhudiwa na Mama Salma Kikwete na mwandishi wa kitabu hicho Profesa Nyang'oro.
Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kwa gharama ya shillingi 25,000/= .
Kuna aliyekisoma?Tunaomba mawazo...
Source:MICHUZI
Alaa, kumbe ana positive side?
Negative wanaiona mahasidi tu.