Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Sidhani kama alipokelewa na wanaccm bali watanzania ambao wamefurahishwa na heshima tuliopewa ya rais wetu kuwa mwenyekiti wa AU.JK nikama nabii ambaye wachache wenye akili ya mgando wanawaza kwa nini amepewa uchair lakini wenzetu wanatambua ubora wake.
Mtoto Fisadi
Nadhani ukitaka kuweka msisitizo labda utuambie alipokelewa na watanzania waliokuwa wamevaa mavazi ya chama tawala ambao si wanaccm.....