Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
ngoja tulisubiri hilo shimo litakalo chimbwamkwara wa nimrod mkono kwamba patachimbika si mjengoni dodoma, subirini yatakayojilia na hatima za vuguvugu la mageuzi.
ngoja tulisubiri hilo shimo litakalo chimbwamkwara wa nimrod mkono kwamba patachimbika si mjengoni dodoma, subirini yatakayojilia na hatima za vuguvugu la mageuzi.
O K sasa nimeanza kufuta yale niliyo kuwa nayaamini kuwa kushindwa kwake ulisababishwa na nguu kubwa ya CHADEMA kumbe hata ule mpango wa kutenganisha biashara na siasa ulenga hata yeyeYaani unauliza fisadi Diallo kakosa nini haujui vyombo vyake vya habari vinavyyooichafua CCM na kuipambaCDM mwanza...kwanza nae hana jipya huyo mafisadi alipokuwa waziri alituibia sn pale wizarani
Huyo Mbunge ndio yule anayejihusisha na Biashara za international Pharmaceutical?
Hii ndiyo CCM na mwenyekiti wake ni burudani tupu, hapo nchi itajengeka kwa mtindo huu?
najiuliza hivi Diallo kakosa nini mbona wamemtupa nje
halafu hii kauli ya " msipo nichagua/niteua naenda upinzani " mbona nasikia hata yeye aliitumia kumbe alikuwa anatishia tu
JK akikata jina la Salma, Patachimbika
JK watanzania wangekupima kwa vigezo unavyowapima navyo wenzako wewe ungebakia kweli?
Hakuna kiongozi anayeongoza nchi kwa vitisho kama wewe, unakumbuka kauli zako wakati wa mgomo wa wafanyakazi?
Ngoja tuone mziki wa Nimrodi kwasababu alisema patachimbika
"Inashangaza kuona kugombea NEC tu watu wanataka kuuana, wanakimbilia nini huko ndani?" alihoji Rais Kikwete.
"Ina maana watu hawa wanaonyesha dhahiri kuwa hawana nia njema na chama, bali wanaingia kwa maslahi yao binafsi, hivyo tuna kila sababu ya kuwakataa ili tujenge timu ya ushindi ambayo ndiyo nia yetu," aliongeza mwenyekiti huyo.]