Makonda anaweza fanya kuamka asubuhi Bashe sio waziri wala mbunge

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,015
12,281
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
 
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu wala ubabe kuipata. Apambane na hili la sukari mengine muda na Muumba wake ndio waamuzi.Kwa ufupi kila mmoja ana umuhimu wake na nafasi yake ina umuhimu kwa CHAMA na SERIKALI. KAZI IENDELEE.
 
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu wala ubabe kuipata. Apambane na hili la sukari mengine muda na Muumba wake ndio waamuzi.Kwa ufupi kila mmoja ana umuhimu wake na nafasi yake ina umuhimu kwa CHAMA na SERIKALI. KAZI IENDELEE.
Bashe ana nguvu gani ya maamuzi ndani ya chama cha CCM juu ya Makonda ?
 
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu wala ubabe kuipata. Apambane na hili la sukari mengine muda na Muumba wake ndio waamuzi.Kwa ufupi kila mmoja ana umuhimu wake na nafasi yake ina umuhimu kwa CHAMA na SERIKALI. KAZI IENDELEE.
Chama kina nguvu kuliko serikali makonda ndie boss wa mawaziri na wakuu wa mikoa,wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na wote wanaoteuliwa na raisi,bashe asilete ujuaji labda kama kachoka kula Kodi zetu akicheza atamfata Ally Hapi shambani
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
ukibeza na kudharau msingi ulokufanya mpaka ukawa hapo juu, for sure una hatari sana ya kuadhirika....
 
Nitatembea uchi kutoka Mwenge mpk Mbagala endapo Makonda makalio makubwa atasababisha Bashe akili kubwa akatumbuliwa uwaziri.

Lkn sitashangaa Bashe akisababisha Makonda makalio makubwa akapotea na kuanza kuishi kwa kujiificha kama digidigi tena
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Hata CDF anajua kwamba Bashe ni miongoni mwa Wahamiaji Haramu wa Kisomali!! Wasomali ni wakorofi sana
 
Nitambea uchi kutoka Mwenge mpk Mbagala endapo Makonda makalio makubwa atasababisha Bashe akili kubwa akatumbuliwa uwaziri.

Lkn sitashangaa Bashe akisabanisha Makonda makalio makubwa akapotea na kuanza kuishi kwa kujiificha kama digidigi tena
Duuuh eti nini digidigi anajificha km nungunungu??!
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Afrika ina upuuzi mwingi sana ikiwemo na aina hii.

Siasa imekuwa ndiyo chanzo cha maisha na vifo vya kisiasa, taaluma, uwekezaji, watu hata nchi

Hatuna wenye nia njema. kila mkubwa anataka ukubwa zaidi
 
Back
Top Bottom