Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,341
Ngoja tuone mziki wa Nimrodi kwasababu alisema patachimbika
Mchukueni Chadema wamemkata analeta mkwara wakati huo utajiri wake kaupatia CCM.
Ngoja tuone mziki wa Nimrodi kwasababu alisema patachimbika
JK watanzania wangekupima kwa vigezo unavyowapima navyo wenzako wewe ungebakia kweli?
Hakuna kiongozi anayeongoza nchi kwa vitisho kama wewe kumbuka kauli zako wakati wa mgomo wa wafanyakazi!!
Unakumbuka kauli zako wakati wa mgomo wa madaktari?
Kuzushiana mambo hakuna mtu mzushi kama wewe JK, unakumbuka ulivyowazushia wenzako wakina Salim A Salim kuwa ni waarabu na uchafu mwingi uliowatupia wenzako ikiwemo kashfa za kutunga?
Suala la rushwa:
Serikali yako imejaa viongozi wala rushwa watupu ukiwemo wewe mwenyewe, wakati ulipokuwa waziri wa madini uligawa migodi kama njugu na pia ikiwemo suti uliyonunuliwa na yule mwarabu huko London.
Hakuna mtu mzushi na mpenda majungu kama Kikwete,ngoja tuone reaction ya aliowatema,wanajua jamaa ni dhaifu na hafai lazima walipize kisasi
Ritz hilo panga ni la kuia CCM kama hujui. Jiandae kwenda ADC.Naona mmeamua kujiliwaza mwanzo mlisema CCM wamuogopa Nkono, panga limewapitia mnaleta stori zingine JK ni nouma.
Uchaguzi wa ndani wa CCM ni "sadakalawe", mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose!. Fainali ni 2015!.
Huyo Mbunge ndio yule anayejihusisha na Biashara za international Pharmaceutical?
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM - NEC kimemalizika hivi punde huko Dodoma, huku wale wabunge wa CCM waliosaini fomu ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, majina yao yakiwa yamekatwa. wabunge waliokatwa majina yao kwa kosa la kumwadhibisha waziri mkuu ni Mhe. Deo Filikunjombe, ambaye aliomba nafasi ya UNEC wilaya ya Ludewa na mhe. Nimrodi Mkono aliyeomba Unec na Uenyekiti wa Wazazi Taifa.
My take: Mie nilidhani Filikunjombe na Mkono na wabunge wengine waliosaini ile fomu waliisaidia serikali ya CCM, loh kumbe kitendo kile kiliwaudhi wakubwa! ama kweli ccm ina wenyewe, akina Pindi Chana.
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM - NEC kimemalizika hivi punde huko Dodoma, huku wale wabunge wa CCM waliosaini fomu ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, majina yao yakiwa yamekatwa. wabunge waliokatwa majina yao kwa kosa la kumwadhibisha waziri mkuu ni Mhe. Deo Filikunjombe, ambaye aliomba nafasi ya UNEC wilaya ya Ludewa na mhe. Nimrodi Mkono aliyeomba Unec na Uenyekiti wa Wazazi Taifa.
My take: Mie nilidhani Filikunjombe na Mkono na wabunge wengine waliosaini ile fomu waliisaidia serikali ya CCM, loh kumbe kitendo kile kiliwaudhi wakubwa! ama kweli ccm ina wenyewe, akina Pindi Chana.
Zaidi:
CCM inapotaka kufanya lake haijali kama kuna baba mkwe wala kumuonea mtu aibu.Wacha CDM waendeleze ufamle na kuogopana.
Hakuna mtu mzushi na mpenda majungu kama Kikwete,ngoja tuone reaction ya aliowatema,wanajua jamaa ni dhaifu na hafai lazima walipize kisasi
Udhaifu mkubwa sana na ubaguzi wa hari ya juu ndani ya ccm