Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Rais wetu JK yupo busy sana na mambo ya nje kuliko ya nyumbani......hapa nyumbani hatulii kabisa ndo maana mafisadi wanapumua na kujiimarisha zaidi na zaidi......kwa kupaa paa hivi sijui kama hawa mafisadi atawaweza wengine anapaa nao huko huko anako elekea.
Ukiwa makini utagundua au utaelewa kwamba kazi kubwa ni ya waziri mkuu,,, sio ya Rais....
Tulishajadili kwamba Rais wa Tanzania... ana mambo makubwa kwenye wizara hizi.
-Nje na Mahusiano ya Kitaifa
-Fedha
-Utumishi na Utawala Bora
-Ulinzi na Usalama....
Wizara zingine nyingi Waziri Mkuu ndiye mwenye kuziongoza kwa karibu zaidi... so there is no any harm for president to travel... ni part ya majukumu yake.
Ukitumia akili ndogo utajua kwamba Mswati alituletea fedha siku za karibuni kwa kukaa kwenye mbuga zetu... sio ustaarabu kutokwenda kumsalamia.