acha uvivu wa kufikiri kijana! aliyekuwa udsm 2002-2006 ni mnyeti, lakini pia akiwa mwaka wa tatu alichukua fomu kuwania uspika wa bunge la jamhuri, akichuana na akina sitta na msekwa! umeelewa sasa?Sahihisho mkuu, 2002 - 2006 kwa Msekwa na Sitta kusema walikuwa UDSM naona kama ni typing error vile. Weka vizuri hapo.