Katibu CHAKAMWATA: TUCTA ni wachonganishi

Katibu CHAKAMWATA: TUCTA ni wachonganishi

Sijapewa username bado

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,723
Reaction score
2,761
Katibu Mkuu wa chama Cha Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA), mwalimu Kapange, amesema amechukizwa na Risala ya TUCTA ambayo ilikuwa imekaa kichonganishi kwa kumtaka Rais Samia kuvifungia vyama vya wafanyakazi nchini.
 
Hiyo risala ya TUCTA ni ya CWT, TUCTA walipaswa kuipitia na kuihariri risala yao. Hata hivyo Rais kawajibu vema wakakae na vyama vyote waridhiane
 
Back
Top Bottom