Jirani yangu simwelewi

Jirani yangu simwelewi

yewoooo...ukampa shati lako?? hilo lishafika kwa babu tanga. tusubiri tu ndoa sasa. alililiiiiiiii....

Wala haiko hivyo. Alilipenda tu, cuz siku ya pili baada ya kumpa nilimuona kalivaa. Halafu haya mambo ya babu na stress za kuolewa tunayo sisi Bongo tu, wenzetu wako tofauti so niko salama kabisa.
 
Dogo hajui 'kutongozwa na wadada kukoje'
kampa shati kweli badala ya kumuambia njoo 'home' uchague mwenyewe

cc Evelyn Salt

Jefe, huyu hakuwa akinitongoza wala kunitega. Alipenda shati tu. I've been a mack since standard six, so I know for a hundred how to get around. Zaidi ya shati na ushkaji wa kawaida, hakuna ajenda nyingine zozote kati kwa pande zote.
 
Jefe, huyu hakuwa akinitongoza wala kunitega. Alipenda shati tu. I've been a mack since standard six, so I know for a hundred how to get around. Zaidi ya shati na ushkaji wa kawaida, hakuna ajenda nyingine zozote kati kwa pande zote.
Mpendwa usifanye moyo kuwa mgumu, from no where tu mwanamke aombe shati lako na alive??? Kuna kameseji anakupa tuna mbinu nyingi za kurubuni achana na ile old aliyoitumia Eva kwa Adam...I
Anakuita huyo itika bana, mwambie una shati lingine zuri kuliko hilo aijie teh
Cc The Boss kwa ushauri zaidi
 
Watu kama hao wapo sana we mzoee tu ili uweze kuish nae vzur
 
Mpendwa usifanye moyo kuwa mgumu, from no where tu mwanamke aombe shati lako na alive??? Kuna kameseji anakupa tuna mbinu nyingi za kurubuni achana na ile old aliyoitumia Eva kwa Adam...I
Anakuita huyo itika bana, mwambie una shati lingine zuri kuliko hilo aijie teh
Cc The Boss kwa ushauri zaidi

Hakuna kabisa mpendwa. Huyu manzi kwanza tumekutana kupitia boss wake, na ofisi yao nzima wanahisi mi natoka na huyo boss, ambayo si kweli pia. So hiyo ni moja ya sababu hawezi "kunijia".

Aisee nikifunguka vituko vya hawa kina mama wanaonizunguka daily, na navyovichukulia si ndio mtaniua kabisa. Hiyo issue ya shati wala haina zaidi kupenda shati.
 
Hakuna namna zaidi ya kuhama hapo.
Kataviiiiiiiii.... Unaniangusha banah ahame kisa huyo binti mapepe, hahaha atahama kila mahali maana kila uendapo unakutana na jirani wa tofauti interms of personality, anaweza akahama hapo akakutana na mbaya kabisa, ila hili anaweza akalimudu lipo ndani ya uwezo wake ni amkazie tu na amwambie ukweli, mambo ya kumchekea mtu anaye kuboa unatengeza mazingira ya kuwa mtumwa ukiwa serious nikuweka na kuboresha MIPAKA basi
 
Hakuna kabisa mpendwa. Huyu manzi kwanza tumekutana kupitia boss wake, na ofisi yao nzima wanahisi mi natoka na huyo boss, ambayo si kweli pia. So hiyo ni moja ya sababu hawezi "kunijia".

Aisee nikifunguka vituko vya hawa kina mama wanaonizunguka daily, na navyovichukulia si ndio mtaniua kabisa. Hiyo issue ya shati wala haina zaidi kupenda shati.
Nini kukuhisi unatoka na Boss, mtu anajua una mke ana kufata itakua Boss ha ha ha
 
Kataviiiiiiiii.... Unaniangusha banah ahame kisa huyo binti mapepe, hahaha atahama kila mahali maana kila uendapo unakutana na jirani wa tofauti interms of personality, anaweza akahama hapo akakutana na mbaya kabisa, ila hili anaweza akalimudu lipo ndani ya uwezo wake ni amkazie tu na amwambie ukweli, mambo ya kumchekea mtu anaye kuboa unatengeza mazingira ya kuwa mtumwa ukiwa serious nikuweka na kuboresha MIPAKA basi
Umesema kweli mkuu, lakini mtoa mada inaonekana kabisa kama hana ujasiri wa kumpa makavu huyo jirani mkorofi.
 
Nini kukuhisi unatoka na Boss, mtu anajua una mke ana kufata itakua Boss ha ha ha

Unajua nimegundua everytime mwanaume unapofikiri 'unawajua' wanawake
basi kuna kitu still 'hukijui'
kwa kila mtu hii inatokea...

Mdada angependa tu shati angeuliza kanunua wapi
aende kununua na yeye
akiomba shati ulilovaa hiyo ni 'kitu kingine kabisa'...

Ni sawa na kumnunulia mdada gazeti akapokea na kumnunulia 'underwear' akapokea
vitu viwili tofauti ingawa vyote 'umemnunulia'
 
Umesema kweli mkuu, lakini mtoa mada inaonekana kabisa kama hana ujasiri wa kumpa makavu huyo jirani mkorofi.
Hahahaha ngoja tumpe mbinu mkuu, akitaka ampe MAKAVU LIVE akapige kiroba tu mbona tumeona nguvu ya kiroba/gambe kwa ex-waziri Charles inavyo kupa confidence, akishatupia gambe amsubirie aingie kwenye box... Utafurahi...
 
Hakuna kabisa mpendwa. Huyu manzi kwanza tumekutana kupitia boss wake, na ofisi yao nzima wanahisi mi natoka na huyo boss, ambayo si kweli pia. So hiyo ni moja ya sababu hawezi "kunijia".

Aisee nikifunguka vituko vya hawa kina mama wanaonizunguka daily, na navyovichukulia si ndio mtaniua kabisa. Hiyo issue ya shati wala haina zaidi kupenda shati.


Inaonekana kuna 'fursa' zimekuzunguka hadi zinakuzidia uwezo
kama 'wadada' wanahisi 'unatembea na boss wao basi ujue boss wao kaonesha 'sign' za kukutaka
wao kama wanawake wameziona..wewe hujaziona....

Wanajua hujatembea na boss wao bado so na wao wanajaribu 'bahati' zao
au wanajaribu tu 'kurushana roho' wao kwa wao

huyo aliechukua shati analivaa ili tu kuwaonesha wenzie 'tayari'
wakae pembeni wampishe....ni mbinu tu za wadada...
 
Hahahaha ngoja tumpe mbinu mkuu, akitaka ampe MAKAVU LIVE akapige kiroba tu mbona tumeona nguvu ya kiroba/gambe kwa ex-waziri Charles inavyo kupa confidence, akishatupia gambe amsubirie aingie kwenye box... Utafurahi...
Hahahaah huyo inaonekana Gambe ndio itampoteza kabisa atakosa ujasiri kabisa.
 
Anatafuta mazoea ya kipumbavu anataka ushoga ushoga mpotezee kmy kmy au unampa majibu ya kushushua tu huyo harudi tena na maujinga
 
Location ya kuishi sijui masaki sijui wapi sio tatizo tatizo ni watu unaoishi nao!!! Sijakataa kuulizwa ila ni tabia mtu amejijengea na siipendi!!! Mtu ana upara ananiuliza nimesuka bei gani iweje? Nimenunua simu mpya anataka nimjulishe iweje? Au anauliaza kama nimenunuliwa na mpenzi? Lazima ni question her motives ama reasons za kuuliza hivi.
FYI ninapoishi kuna watoto wa jirani nawapenda na wananipenda balaa nawawekea cartoon mara moja moja na h/work nafanyaga nao.
Vipi ushamrudisha housegirl kwao? Au umepata mke mwenza? Vipi mumeo bado akiongea na HG unawaweka kikao na kuwasuta?????

We unaishi na mgonjwa Wa akili pasipo kujua
 
Inaonekana kuna 'fursa' zimekuzunguka hadi zinakuzidia uwezo
kama 'wadada' wanahisi 'unatembea na boss wao basi ujue boss wao kaonesha 'sign' za kukutaka
wao kama wanawake wameziona..wewe hujaziona....

Wanajua hujatembea na boss wao bado so na wao wanajaribu 'bahati' zao
au wanajaribu tu 'kurushana roho' wao kwa wao

huyo aliechukua shati analivaa ili tu kuwaonesha wenzie 'tayari'
wakae pembeni wampishe....ni mbinu tu za wadada...
Unamuharibu huyu mpendwa ha ha ha ni muimba kwaya bana
 
Siku moja usiku mwite chumbani kwako, akiingia zima taa sekunde tatu washa akukute umeshika bisu kubwa, atastuka, mwonye kwa ishara asisubutu kupiga ukelele, kisha mwambie, "USINIZOEE KUANZIA LEO VINGINEVYO UTAIJUA KAZI YANGU" zima taa mwambie "POTEA" hatorudia na nyumba atahama.
Hiyo ni Kete Ngumu bhana!
 
Back
Top Bottom