Ni nzuri. Nimefurahi kukuona.Yeah nimerudi mamii, za siku mingi aisee?
wala. hata wao huko uswazi wana-struggle kupata chakula, wana-aim high nao siku moja waje kula nyama na samaki bila shida, na ndoto nyingine nyingi kama hizo za kumiliki sofa, friji, friji ya milango miwili., vitenge vya wax.... Kila mtu ana ambition sema mapana na aina ya ambition inategemea uko wapi, umezungukwa na nini, n.k.Yeah kweli kabisa, hata mi nawaonaga hivyo. Tena sometimes nahisiga wanaenjoy life kuliko sisi, nadhani tunajipa stress sana kwa hizi ambition zetu za ku-aim high kila kitu. Imaginary life tunayo-wish nahisi inatutesa sana bila kujijuwa
Yeah ofcoursewala. hata wao huko uswazi wana-struggle kupata chakula, wana-aim high nao siku moja waje kula nyama na samaki bila shida, na ndoto nyingine nyingi kama hizo za kumiliki sofa, friji, friji ya milango miwili., vitenge vya wax.... Kila mtu ana ambition sema mapana na aina ya ambition inategemea uko wapi, umezungukwa na nini, n.k.
*inawezekana kabisa tatizo ni wewe,jaribu kwenda nae sawa hutapungukiwa huyo anaku admire tu ndio shida yake.jamii ili ikamilike lazima ibebe tabia zote na alie sawa in yule anaeweza Ku socialize na kila mmojaMi nimechoka yani,saiv nikirudi kwangu as long as nimelipa bills na sina cha kuongea na mtu najifungia ndani kwangu. Naonaga ni bora kukeep distance na mtu mkaheshimiana kwa kwa mbali kuliko kuzoeana mkakwazana kirahisi over vitu visivyo na msingi.