Jirani yangu simwelewi

Jirani yangu simwelewi

Sio kila unaekutana nae ktk maisha yako atakuwa mwema.,wengine wapo kama wametumwa.,wengine waepuke tu.,fanya mambo yako mpuuzie tuu
 
Watu wa aina hii wapo sana. Wazoee tu. Ukute hakuna zaidi ya admiring tu.

Kuna kina dada flani hivi tunafanya kazi eneo moja. Kila mara wananiuliza nani ananisafishia viatu, nanunua wapi nguo, yadda yadda yadda. Mwingine aliomba shati nililovaa nikajua utani, bwana we.... niliishia kumpa tu.
Bora yako ww.,Mm nilikuta sharti nililoanika kwenye kamba kalinyoosha kalivaa.,hlf ni mke wa mtu.,Nikichukia sana na kulichoma moto hilo shart
 
Na ukimpa za uso asipoacha mtajie bei ila zidisha mara 5 zaidi....

Kama umesuka nywele sh 50,000 akikuuliza mwambie 300,000 (hata kama ji twende kikioni.....atajiongeza mwenyewe)

Akiuliza simu bei gani...kama ni ya mil...mwambie mil 3

Akiuliza unapiga nyama au samaki...mwambie leo napika mchanga....umeumisi kweli

Kama gauni la 100,000 mwambie laki 5....

Ili anachokitafuta akipate vizuri
 
Watu wa aina hii wapo sana. Wazoee tu. Ukute hakuna zaidi ya admiring tu.

Kuna kina dada flani hivi tunafanya kazi eneo moja. Kila mara wananiuliza nani ananisafishia viatu, nanunua wapi nguo, yadda yadda yadda. Mwingine aliomba shati nililovaa nikajua utani, bwana we.... niliishia kumpa tu.

Hahahaha we nae jiongeze wanataka waje wakufanyie usafi na kukupikia af huelewi??? Uyo alochukua shati atapita mtaani kwako siku akuambie nipo mtaani hapa kwako wapi nikuletee shati?
 
Hahahaha we nae jiongeze wanataka waje wakufanyie usafi na kukupikia af huelewi??? Uyo alochukua shati atapita mtaani kwako siku akuambie nipo mtaani hapa kwako wapi nikuletee shati?

Wala sio hivyo. Wako genuine. If it helps, sio wabongo so sio sanaa hizo.
 
hahaha naona tabiaza kiswahili au uswahilini af weujazizoea hahahpole, mtu kama huyo ni shida...ni muda si mrfu yatakuja malumbano au beef za ikekie zile....ana matatizo inabidi utumie busara na akili ya ziada,....ndio wale wanaojifanya kukuzoea af baadae waanzishe mengine.....nimkaa uuswazi niljionea nkashangaaa mpaka nkagegeda mtu wa humo ndani hiyo nyumba ya kupanga hahahaha
 
Wala sio hivyo. Wako genuine. If it helps, sio wabongo so sio sanaa hizo.

Well maybe its mere admiration and I'm over reacting or maybe ni uswahili wa kufatiliana sijui but either way It makes me uncomfortable. Like you said watu wa hivyo wapo ila if you're smart enough to read peoples minds you'll know who is genuine and who is not. In my case my neighbor isn't...that's what irritates me the most!
 
Kuulizwa unapika nini na umenunua kiasi gani nayo imekuwa kesi? wengine wanauliza ili wapate ufaham wajichangishe wakatafute vya kwao, ukitaka usiulizwe kaishi masaki mama, sipati picha ukiishi nyumba yenye watoto alafu waombe kuangalia TV kwako

Halafu unajua tunasubiri mrejesho, did you resolve the issue?
 
Mface umwambie kama hupendezewi na tabia zake,mara nyengine watu huwa hawajui kama vitendo vyao vinakera wengine hivyo ni vyema mkaongea,kama ni mtu mwelewa atajirekebisha.
Asipobadilika baada ya hapo mtengenezee fitna kwa mwenye nyumba apewe notisi ya kibabe,awaache muishi kwa amani
 
Aaah lile shati nilokununulia wewe umehonga, Chinekeeeee. Afu huko kazini haya, waendelee tu kukuuliza nani anakufutia viatu

Hivi Douta Benny anakuvyokuja kuulizia vitabu vya biology kuna kingine anachoulizia? Maana siyaelewi malalmiko yake hapa.

Mimi ni kwa kua naona naonewa

Kwani mkuu we si unaendaga kuulizia notice tu? Au?
 
Well maybe its mere admiration and I'm over reacting or maybe ni uswahili wa kufatiliana sijui but either way It makes me uncomfortable. Like you said watu wa hivyo wapo ila if you're smart enough to read peoples minds you'll know who is genuine and who is not. In my case my neighbor isn't...that's what irritates me the most!

Don't sweat it. If she steals him, I gotcha.

On a serious note, just talk to her. Tell her how uncomfortable she makes you. You got nothing to lose.
 
Niggas wanna see u win/succeed but NEVER ahead of them.

You know a nigga hates on u when all other fellas appreciate ur success/presence/victory but all a nigga does is bad mouth/criticises u.

Alaf mbaya zaidi sasa had dem wake kiaina unakuta anakukubali balaa sema ndio vile.(Kuna jamaa alikua ananichukia na la kunifanya hanaa nikiongea na dem wake alikua anaumia kweli yan)

Hahaha, Been there, Seen that.

Its life.
 
Back
Top Bottom