Jirani yangu simwelewi

Jirani yangu simwelewi

Na ndio maana nimehamia kwangu vyumba 2, sebule, jiko na choo, kiwanja bwelele, kuku, migomba, nazi, mindimu, passion, mipapai, miwa n.k., hamia kwako, hata kuwe kibamba, mbezi, bunju, chanika, bagamoyo etc etc, usiku usingizi wa kufa mtu, usafiri poa tu, adapt..
Ni bora kuhamia kwako tu. Mi mwenyewe nitahamia kwangu vyumba viwili tu. Nitaanza kujenga nyumba ninayoitaka nikiwa kwangu takujenga nikiwa kwangu tayari
Nyumba za kupanga zina kero.
Nikirudi ni kwangu tu, labda nisikie jirani anaumwa
 
Hayo ni ya kawaida kabisa na yapo sehemu nyingi, kila mtu amekulia kwenye mazingira tofauti na ndio maana ya jamii sasa, unaweza kuhama bado ukakutana na atakae kukera zaidi ya huyo. Kama utaamua kuhama basi tafuta self kabisa
 
usilalamike saana watu kama hao ni safi saana kuishi nao fanya vitu vya maana azidi kukufuata then unamwaga ki stail
 
yani kwa hako kamoyo kadogo hvo bs utakimbia nyingi sana za kupanga mkuu, mbona swala dgo sana hilo.
 
ushasema kwao shinyanga! kule wasukuma hawajivuni ni wakarimu na ni ndugu kwa kila aliekaribu nao, lkn ushamba ndo unawatesa! mzoee utafaidika.
 
Mzoee na ww u adjust ndo mambo ya nyumba za kupanga....unaeza kukwepa hili ukahamia sehemu mbaya zaidi.
 
ni kweli watu wa uswazi wanaishi maisha ya amani sana kuliko sie tunajifungia katika mageti
 
Unajua nimegundua everytime mwanaume unapofikiri 'unawajua' wanawake
basi kuna kitu still 'hukijui'
kwa kila mtu hii inatokea...

Mdada angependa tu shati angeuliza kanunua wapi
aende kununua na yeye
akiomba shati ulilovaa hiyo ni 'kitu kingine kabisa'...

Ni sawa na kumnunulia mdada gazeti akapokea na kumnunulia 'underwear' akapokea
vitu viwili tofauti ingawa vyote 'umemnunulia'
Asante The Boss...

Paulo Sergio De Souz hapa kachemsha bana.... itabidi afuate ushauri wa Evelyn Salt tu.... amwite mdada amwambiame kuna shati jingine hakuna namna

In short mwenyewe alishindwa kutumia fursa
 
Baadhi ya wadada wana tabia za kiswazi,, maybe alivyoona umemsaidia akaona ts the right time ajisogeze sasa,, probably aliitamani sana hyo nafas.. Ndo shida ukimsaidia mtu kdogo atataka ajue hata pichu gani umevaa,,
 
Stay away from her please before you will find her with your BF on top of your bed.... I can imagine the danger


Nashindwa kumuelewa jirani yangu na ananifanya nisiwe comfortable.... Nyumba ninayoishi tupo watano kila mtu na kwake anaijtegemea wote ni vijana na hakuna mwenye familia. Tupo wadada wawili tu. Huyu dada jirani yangu alinikuta wakati akihamia hapo na mwanzoni alipata matatizo nikamsaidia kama kama ambavyo ningemsaidia binadamu yoyote. Aliumwa na hakuwa na ndugu karibu (kwao Shinyanga) hivyo nilimhudumia kwa ukarimu wote nilimpikia, na kumsaidia kufanya usafi hadi alipopata nafuu.

Baada ya kupona maisha yaliendelea japo hatukua na ukaribu zaidi ya salamu na mambo basic kama kushare bills. Kumbuka sisi ni vijana na pretty much ndio tumeanza kujitegema so hatujajiestablish kihiivyo...ila nimegundua huyu jirani yangu ni kama anawivu ama sijui ni kitu gani. Alipokuja kwangu kila alichokiona alitaka kujua ni menunua bei gani na vingine alidiriki kuniuliza umenunuliwa na mpenzi wako? Sikumbuki nilipotezeaje coz sionagi kama ni sawa ku disclose mambo yangu binafsi kwa mtu ambae sio wa karibu.

Ila naona ni kama tabia kila tukionana akiona nimebadilisha style atauliza umesuka bei gani, juzi kaniona na simu kaniuliza mbona hujanionyesha kitu kipya. yani hata nikinunua maybe kiblouse kipya lazima atauliza. Kinachonimaliza ni kwamba hata kama niko ndani napika ataongea from her room eeeeh jirani leo unapika samaki au leo unapika kitu flani? Hua namjibu kwa maneno machache tu.

Bottom line ni kwamba she makes me uncomfortable!!!!!!! Yani very uncomfortable!!!!! Akiona mpenzi wangu wangu yupo ndani atakuja kunigongea either aombe kitunguu au kibiriti.

Nisaidieni jirani wa hivi naishije nae?????
 
Nashindwa kumuelewa jirani yangu na ananifanya nisiwe comfortable.... Nyumba ninayoishi tupo watano kila mtu na kwake anaijtegemea wote ni vijana na hakuna mwenye familia. Tupo wadada wawili tu. Huyu dada jirani yangu alinikuta wakati akihamia hapo na mwanzoni alipata matatizo nikamsaidia kama kama ambavyo ningemsaidia binadamu yoyote. Aliumwa na hakuwa na ndugu karibu (kwao Shinyanga) hivyo nilimhudumia kwa ukarimu wote nilimpikia, na kumsaidia kufanya usafi hadi alipopata nafuu.

Baada ya kupona maisha yaliendelea japo hatukua na ukaribu zaidi ya salamu na mambo basic kama kushare bills. Kumbuka sisi ni vijana na pretty much ndio tumeanza kujitegema so hatujajiestablish kihiivyo...ila nimegundua huyu jirani yangu ni kama anawivu ama sijui ni kitu gani. Alipokuja kwangu kila alichokiona alitaka kujua ni menunua bei gani na vingine alidiriki kuniuliza umenunuliwa na mpenzi wako? Sikumbuki nilipotezeaje coz sionagi kama ni sawa ku disclose mambo yangu binafsi kwa mtu ambae sio wa karibu.

Ila naona ni kama tabia kila tukionana akiona nimebadilisha style atauliza umesuka bei gani, juzi kaniona na simu kaniuliza mbona hujanionyesha kitu kipya. yani hata nikinunua maybe kiblouse kipya lazima atauliza. Kinachonimaliza ni kwamba hata kama niko ndani napika ataongea from her room eeeeh jirani leo unapika samaki au leo unapika kitu flani? Hua namjibu kwa maneno machache tu.

Bottom line ni kwamba she makes me uncomfortable!!!!!!! Yani very uncomfortable!!!!! Akiona mpenzi wangu wangu yupo ndani atakuja kunigongea either aombe kitunguu au kibiriti.

Nisaidieni jirani wa hivi naishije nae?????
wanawake wengine nux
 
Back
Top Bottom