jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 10,981
- 10,618
Na ndio maana nimehamia kwangu vyumba 2, sebule, jiko na choo, kiwanja bwelele, kuku, migomba, nazi, mindimu, passion, mipapai, miwa n.k., hamia kwako, hata kuwe kibamba, mbezi, bunju, chanika, bagamoyo etc etc, usiku usingizi wa kufa mtu, usafiri poa tu, adapt..Hama uswahilini, tafuta mahali penye hadhi yako kama huwezi maisha ya uswazi....
Tatizo you are the right person in a wrong place....