Server ipi iko stable kwasasa?
Utaambiwa bestcam nunua sasa huwezi kutumia zaidi ya wiki.
Server ipi iko stable kwasasa?
Je nahitaji bundle kiasi gani/gb ngapi kuweza kuangalia daily 2hrs kwa mwezi?
Bestcam unaweza pata MAXIMO?
Utaambiwa bestcam nunua sasa huwezi kutumia zaidi ya wiki.
Naona kwangu sasa hivi TV1 ni giza tupu hakuna hata channel moja inayoonyesha.Vilevile na Bestcam ni kimyaaaaaaa.Wadau vipi huko kwenu?
kusema DST wanaweza kutafuta Dawa ya kuzuia wachina moja kwa moja haiwezekani. Lazma zitarudi hewani tu ila inahitaji uvumilivu mkubwa.
Inawezekana wanabadilisha mpaka resiver za wateja wao sasa hivi ngoja tuone
nasikia Qsat isharudi kwa avatarcam, kwa kwel avatarcam naiaminia kuliko nyingine
Avatacam wako hewani. Ila ss3 bado haipatikani. Hizi nyingine ziko stable sana.
Poa mkuu wanyonge tutaishi japo kwa tabu lakini tupogo
Avatacam wako hewani. Ila ss3 bado haipatikani. Hizi nyingine ziko stable sana.
Poa mkuu wanyonge tutaishi japo kwa tabu lakini tupogo
yaan kesho ilikua fundi aje kuzungusha dish Nianze kupata Fta. ile kufika home. Naona zimerud. Ngoja niongee kama zitadumu weekend hii.