- Hakuna kwa sasa
- Karibu
Jaribu IPTV, huwa wana BEINSPORT na channel zingine nyingi za michezoahsante mkuu maana hapa nilimanisha zile chanal za beinsport hususan za english kwa maana hiyo hakuna kingamuzi cha magumashi au hizi acount za wachina zinaweza kufungua hizi channel kama sio decorder yao official
Jaribu IPTV, huwa wana BEINSPORT na channel zingine nyingi za michezo
Karibu
>> Angalia internet connection>> Iwe ni 3GIPTV>> Kwa sasa ili ufurahie IPTV ni vyema ukawa na ANDROID TV BOX [itafute hapa aliexpress.com ]>> Hapo utapata BEINSPORT pamoja na channel zingine zaidi ya 600Mbona hiyo IPTV kwenye Speed HD haifunguki,tena siyo IPTV tu bali na you tube nayo vilevile haifunguki
>> Angalia internet connection>> Iwe ni 3GIPTV>> Kwa sasa ili ufurahie IPTV ni vyema ukawa na ANDROID TV BOX [itafute hapa aliexpress.com ]>> Hapo utapata BEINSPORT pamoja na channel zingine zaidi ya 600
Mwl.RCT tunaomba ufafanuzi. Ni lini Acc za Cccan zitafufuka? ( Cc Njunwa wa Mavoko)
Ni TSH 45'000 kwa miezi sita.
Mawasiloano:-
>> TiGo 0717 54 57 62
>> AirTel 0784 496 856
KARIBU
Mwl, Weka bei unayouza sasa account ya Avatorcam ya miezi 6,najua ulimiambia imepanda kwa asilimia 100,kama niko sahihi,ushauri tu.ili iwe faida ya wote