Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
Introduction:
Baada ya kuona Monopoly kubwa ya Vingamuzi vya Kichina nimeamua kwenda moja kwa moja Dubai kuwaletea kitu chenye Quality na ambacho hautojuta kwa hela utakayoitoa.
N:B Soma kwa makini hivi sio vile vingamuzi vya kichina vinavyotumia line
Receiver hii inaitwa HD premium 11000 kitu mpya kabisa nimeamua kuianzishia thread yake na nimetaja matumizi yake na hivo wewe utakimbilia kusoma ile itakayo kufaa najua wengi mtakimbilia ile ya DSTV na kabla hatujaendelea ntawaelezea maneno kadhaa ntakayo yatumia katika Thread hii ili kuondoa mkanganyo na kwikwi watu watakayo kuwa nayo.
Maneno ntakayo tumia hapa ni Server, IPTV, CCcam, Card sharing nayo nitayaeleza kwa Ufupi
1.Server; Ni computer yenye internet inayotumika kutoa huduma kwa watu
2.CCcam; Ni software inayotumika kwenye computer/Receiver zenye Linux OS Kuisoma card na kuisambaza kwa watu wengine
3.IPTV; Ni Kifupi cha Internet protocol TV,Na hii itawasaidia sana wale wanaoangalia mipira ya Ulaya Youtube au Mtandao ku stream live na hii IPTV inakudai uwe na internet yenye nguvu kidogo walau 3Mbps
4.Card sharing; Ni mfumo ulioanzishwa kuwaondoa watu kwenye gharama nyingi wazilipazo kuangalia TV,na kwa hapa Africa hii imetusaidia maana ili uone mpira na channel za maana unaitaji walau 88$ ambayo ni nyingi kiasi kwa mtu wa kawaida kwa kila mwezi, Hivo basi smart card moja inaingizwa kwenye computer/server inasambazwa kwa CCcam kwa watumiaji wengine
Kwanini ununue HD premium 100 na uachane na vingamuzi vingine?
1.Inashika FTA(Free to Air)
Kwa wale wapenzi wa FTA hii ndo receiver itakayo kupa vitu unavyovitaka maana ni MPEG4 na ni HD
Mfano unataka kushika Continental Ambayo iko Free to Air mpaka basi utatumia hii bila kurundika vingamuzi kibao sebuleni kwako.
2.Inashika DSTV kwa kutumia TV1 CCcam
Ukiwa na hii Receiver utapata TV1 CCcam(server adress kwa ajili ya DSTV) tena ile VIP achana na ile ya wachina ambayo itakuwezesha kuona Channel za DSTV kama umelipia Premium vile na bila mkwaruzo wowote na bila risk ya kuwa blocked maana server ya TV1 CCcam ni balaa sana imeshindikana tokea 2012 mpaka wa leo watu wanakula maisha na kuburudisha familia zao kwa burudani kemu kemu.
Embu angalia hapa chini ujiridhishe
View attachment 208973
3.Inashika channel za kiarabu kwa kutumia Gshare3 great server
Hii sitaiongelea sana maana receiver zitakudai kuzinunulia Gshare3 IKS acct,Pia Wengi mnajua kuwa Bein sports walikimbilia MENA(Middle East na North Africa) hivo ili uweze kuona Bein sports ukiwa Tanzania itakudai Dish 8ft ambalo ni kubwa sana kwa watanzania waishio makazi ya kupanga na nyumba zilizo banana. Hivo kwa atakayeitaji hii under special order ntakufanyia mpango.
View attachment 208980
4.Inakamata IPTV hakuna mfano
IPTV nimeelezea katika intro na nafikiri kila mmja anaelewa ni kitu gani hiki,IPTV zilizoko humu kuna Arabic,Sports,European TV,Indian TV na French IPTV
zote ni free kwa wateja na zimekua powered na GIPTV ambayo imezi Optimize zisile sana Bundle na zitumia internet isiyo ya kazi.
Emu jitazamie picha hapa chini;
Arabic IPTV
View attachment 208977
EUROPEAN IPTV
N.k.
Vitu Unavyoitaji kuweza kuona DSTV
Kwa hapa Target Kubwa nikuweza kukamata DSTV channel bila malipo ya kila mwezi yaani ni onetime fee baada ya hapo unasubiri mwaka wa kifurushi chako uishe ununue nyingine na uendelee na burudani Utahitaji vitu vifutavyo;
0. HD premium receiver+ tv1 CCcam DSTV 230,000/=
1.Dish la 3ft 70,000/=
2.Installation ya Dish 20,000/=
3.Universal Modem 35,000/=
4.Line yenye hela au kifurushi walau kwa mwezi 100MB
Kuna vifurushi vya bei rahisi ntakuunga kulingana na mtandao utakao kuwa unautumia
Mawasiliano
Phone number/whatsapp +255753932250
alternatively +255657209956
Email: njunwawamavoko@gmail. com
Huduma Nyingine
Renew your AZSKY,QSAT and Xmaster receivers
Baada ya kuona Monopoly kubwa ya Vingamuzi vya Kichina nimeamua kwenda moja kwa moja Dubai kuwaletea kitu chenye Quality na ambacho hautojuta kwa hela utakayoitoa.
N:B Soma kwa makini hivi sio vile vingamuzi vya kichina vinavyotumia line
Receiver hii inaitwa HD premium 11000 kitu mpya kabisa nimeamua kuianzishia thread yake na nimetaja matumizi yake na hivo wewe utakimbilia kusoma ile itakayo kufaa najua wengi mtakimbilia ile ya DSTV na kabla hatujaendelea ntawaelezea maneno kadhaa ntakayo yatumia katika Thread hii ili kuondoa mkanganyo na kwikwi watu watakayo kuwa nayo.
Maneno ntakayo tumia hapa ni Server, IPTV, CCcam, Card sharing nayo nitayaeleza kwa Ufupi
1.Server; Ni computer yenye internet inayotumika kutoa huduma kwa watu
2.CCcam; Ni software inayotumika kwenye computer/Receiver zenye Linux OS Kuisoma card na kuisambaza kwa watu wengine
3.IPTV; Ni Kifupi cha Internet protocol TV,Na hii itawasaidia sana wale wanaoangalia mipira ya Ulaya Youtube au Mtandao ku stream live na hii IPTV inakudai uwe na internet yenye nguvu kidogo walau 3Mbps
4.Card sharing; Ni mfumo ulioanzishwa kuwaondoa watu kwenye gharama nyingi wazilipazo kuangalia TV,na kwa hapa Africa hii imetusaidia maana ili uone mpira na channel za maana unaitaji walau 88$ ambayo ni nyingi kiasi kwa mtu wa kawaida kwa kila mwezi, Hivo basi smart card moja inaingizwa kwenye computer/server inasambazwa kwa CCcam kwa watumiaji wengine
Kwanini ununue HD premium 100 na uachane na vingamuzi vingine?
1.Inashika FTA(Free to Air)
Kwa wale wapenzi wa FTA hii ndo receiver itakayo kupa vitu unavyovitaka maana ni MPEG4 na ni HD
Mfano unataka kushika Continental Ambayo iko Free to Air mpaka basi utatumia hii bila kurundika vingamuzi kibao sebuleni kwako.
2.Inashika DSTV kwa kutumia TV1 CCcam
Ukiwa na hii Receiver utapata TV1 CCcam(server adress kwa ajili ya DSTV) tena ile VIP achana na ile ya wachina ambayo itakuwezesha kuona Channel za DSTV kama umelipia Premium vile na bila mkwaruzo wowote na bila risk ya kuwa blocked maana server ya TV1 CCcam ni balaa sana imeshindikana tokea 2012 mpaka wa leo watu wanakula maisha na kuburudisha familia zao kwa burudani kemu kemu.
Embu angalia hapa chini ujiridhishe
View attachment 208973
3.Inashika channel za kiarabu kwa kutumia Gshare3 great server
Hii sitaiongelea sana maana receiver zitakudai kuzinunulia Gshare3 IKS acct,Pia Wengi mnajua kuwa Bein sports walikimbilia MENA(Middle East na North Africa) hivo ili uweze kuona Bein sports ukiwa Tanzania itakudai Dish 8ft ambalo ni kubwa sana kwa watanzania waishio makazi ya kupanga na nyumba zilizo banana. Hivo kwa atakayeitaji hii under special order ntakufanyia mpango.
View attachment 208980
4.Inakamata IPTV hakuna mfano
IPTV nimeelezea katika intro na nafikiri kila mmja anaelewa ni kitu gani hiki,IPTV zilizoko humu kuna Arabic,Sports,European TV,Indian TV na French IPTV
zote ni free kwa wateja na zimekua powered na GIPTV ambayo imezi Optimize zisile sana Bundle na zitumia internet isiyo ya kazi.
Emu jitazamie picha hapa chini;
Arabic IPTV
View attachment 208977
EUROPEAN IPTV
N.k.
Vitu Unavyoitaji kuweza kuona DSTV
Kwa hapa Target Kubwa nikuweza kukamata DSTV channel bila malipo ya kila mwezi yaani ni onetime fee baada ya hapo unasubiri mwaka wa kifurushi chako uishe ununue nyingine na uendelee na burudani Utahitaji vitu vifutavyo;
0. HD premium receiver+ tv1 CCcam DSTV 230,000/=
1.Dish la 3ft 70,000/=
2.Installation ya Dish 20,000/=
3.Universal Modem 35,000/=
4.Line yenye hela au kifurushi walau kwa mwezi 100MB
Kuna vifurushi vya bei rahisi ntakuunga kulingana na mtandao utakao kuwa unautumia
Mawasiliano
Phone number/whatsapp +255753932250
alternatively +255657209956
Email: njunwawamavoko@gmail. com
Huduma Nyingine
Renew your AZSKY,QSAT and Xmaster receivers