Ni karibu wiki tatu sasa hizi account za ccam hazifanyi kazi hawa jamaa wanaishia kutuambia anytime anytime zitakua online.....at the same time wanasahau kwamba katika kila account muda wa hizo a/c kuisha 7naenda tu bila kupata service yoyote........
Mkuu hawa jamaa ni wahuni kazi yao ni kufariji watu tu lakini ni utapeli mtupu.