Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Huu ndio upuuzi ninao uzungumza .najuta kuingia kwenye hivi vidude.

Mkuu lolowapi Haya ndo maisha. Mambo hayawezi kwenda 100% siku zote. Hata katika maisha yetu ya kawaida kuna siku unatoka home kwenda kazini unakutana na jam inayokufanya ufike ofisini saa 3 badala ya muda wako wa kawaida. Ukiuliza unaambiwa kuna njia imefungwa na inatengenezwa, itachukua wiki!! Hapo unafanyaje??? Hayo ndo maisha...

Tusikate tamaa...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu lolowapi Haya ndo maisha. Mambo hayawezi kwenda 100% siku zote. Hata katika maisha yetu ya kawaida kuna siku unatoka home kwenda kazini unakutana na jam inayokufanya ufike ofisini saa 3 badala ya muda wako wa kawaida. Ukiuliza unaambiwa kuna njia imefungwa na inatengenezwa, itachukua wiki!! Hapo unafanyaje??? Hayo ndo maisha...

Tusikate tamaa...

Mwanzoni iliniwia vigumu sana kuelewa haya masuala ya IKS, ila baada ya kuja kuelewa mchezo unaendaje, sina mawazo kbs, najua baada ya muda zitarudi, otherwise nacheki CCTV News, series na movies nilizonazo.
 
Last edited by a moderator:
Update On CCCAM 16:35Hr
  • A1 cccam - Online, SS1,SS2,SS3,SS4,SS7 & SS9 confirmed
  • TV1 cccam - Still Offline - Any time itakuwa Online
  • Call 0784 496 856 ili kupata account ya A1 cccam , Six month ni TSH 75'000 KARIBU
  • Zifuatazo ni Baadhi ya Picha toka A1 cccam nilizochukua leo
m_20140103000159.jpg

m_20140103000650.jpg

m_20140103000143.jpg

m_20140103000703.jpg

m_20140103000734.jpg

m_20140103000030.jpg

m_20140103000827.jpg
 
Update On CCCAM 16:35Hr
  • A1 cccam - Online, SS1,SS2,SS3,SS4,SS7 & SS9 confirmed
  • TV1 cccam - Still Offline - Any time itakuwa Online
  • Call 0784 496 856 ili kupata account ya A1 cccam , Six month ni TSH 75'000 KARIBU
  • Zifuatazo ni Baadhi ya Picha toka A1 cccam nilizochukua leo
m_20140103000159.jpg

m_20140103000650.jpg

m_20140103000143.jpg

m_20140103000703.jpg

m_20140103000734.jpg

m_20140103000030.jpg

m_20140103000827.jpg

Je mpaka muda huu saa 17.44hrs hizo chanel ziko hewani.Maana kwangu mimi napata chanel moja tu ya jimja,nadhani account yangu itakuwa na shida.Maana kama server iko hewani kwanini hizo chanel ulizoweka hapo kama mfano mimi kwangu ziko scrambled tu
 
Je mpaka muda huu saa 17.44hrs hizo chanel ziko hewani.Maana kwangu mimi napata chanel moja tu ya jimja,nadhani account yangu itakuwa na shida.Maana kama server iko hewani kwanini hizo chanel ulizoweka hapo kama mfano mimi kwangu ziko scrambled tu
  • Nitumie Username kwa sms 0784 496 856
  • Nikuangalizie.
 
For IKS Receiver & CCcam Account Purchase Pls Call 0784 496 856

Time: From 0530Hr - 2030Hr /7

m_20140103123038.jpg


m_20140103123250.jpg


m_20140103123058.jpg
 
Ndio Tv1 ipo hewani, Na iko stable

Mwl unanihakikishia kweli kama TV1 iko hewani??!!!Maana kwangu hata ku connect haitaki kabisa,imeng'ang'ania kwenye status ya disconnect hata nikiilazimisha ku connect manually
 
Wadau wa TV1 naomba kufahamu kama wenzangu imerudi hewani,maana mimi kwangu ni giza tupu
 
Ni karibu wiki tatu sasa hizi account za ccam hazifanyi kazi hawa jamaa wanaishia kutuambia anytime anytime zitakua online.....at the same time wanasahau kwamba katika kila account muda wa hizo a/c kuisha 7naenda tu bila kupata service yoyote........
 
Update: Kwa watumiaji wa A1 & Tv1
  1. Ni kweli kuna "up & Down" katika ufanisi wa server zote mbili kwa wiki hii.
  2. Wakati wowote kuanzia sasa zote A1 na Tv1 zitarudi katika hali ya kawaida kama awali.
  3. "By time" huduma zote zitarejea , subira na uvumilivu ndio kinachotakiwa.
  4. Wasiliana nami kwa namba 0784 496 856 [Muda 0500Hr - 2030Hr/7]wakati wowote kufahamu status ya account yako.
  5. Kama pia unahitaji kupata CCcam account server nyingine ili utumie sambamba na Tv1 au A1 wasiliana nami kwa ufafanuzi. Miezi sita ni TSH 75'000 tu
Kwa watumiaji wa cccam, wakati wowote ukipata taarifa kwamba CCcam server fulani iko online kitu cha kufanya kwanza

  1. Angalia internet connection kama ipo active/ inactive Bonyeza Menu >> Settings >> Ethernet Config >> Config >> Link /Shut Down
lGnPkb

2. Badili simcard na jaribu tena kufanya connection - Hili lilijitokez jana kwa TV1 mwingine yupo connected na mwingine yupo disconnected ila kubadili laini kulisaidia
KARIBU

[QUOTE
=LUNYASI;11892055]Aisee hiyo solution atakayotoa na imani na mimi itanisaidia sana.Maana hata mimi ni imegoma kabisaaa[/QUOTE]

Kwangu imegoma kabisa ku conect nifanyeje mwl.rct

Kwangu ni majanga naona ni giza tupu imetawala.Ngoja niangalie utaratibu mwingine

Wadau wa TV1 naomba kufahamu kama wenzangu imerudi hewani,maana mimi kwangu ni giza tupu

Mwl unanihakikishia kweli kama TV1 iko hewani??!!!Maana kwangu hata ku connect haitaki kabisa,imeng'ang'ania kwenye status ya disconnect hata nikiilazimisha ku connect manually
 
Ni karibu wiki tatu sasa hizi account za ccam hazifanyi kazi hawa jamaa wanaishia kutuambia anytime anytime zitakua online.....at the same time wanasahau kwamba katika kila account muda wa hizo a/c kuisha 7naenda tu bila kupata service yoyote........
  • sI KWELI KUWA NI WIKI TATU
  • Hata watumiaji wengine wa Tv1 CCcam & A1 CCcam ni mashahidi katika hili.
  • Ila kama kwa wewe hujapata huduma kwa hizo wiki tatu fanya hima wasilianan nami tuangalie tatizo la account yako.
  • Unaweza kunipigia 0784 496 856
  • KARIBU
 
Mkuu lolowapi Haya ndo maisha. Mambo hayawezi kwenda 100% siku zote. Hata katika maisha yetu ya kawaida kuna siku unatoka home kwenda kazini unakutana na jam inayokufanya ufike ofisini saa 3 badala ya muda wako wa kawaida. Ukiuliza unaambiwa kuna njia imefungwa na inatengenezwa, itachukua wiki!! Hapo unafanyaje??? Hayo ndo maisha...

Tusikate tamaa...

Ninatumia hivi vidude miaka mieili sasa.nilichoshtukia ni kwamba watu wanatufanya mtaji wa hela na story nyingi.na inawezekana amefungua ids nyingi kufool watu.ila kwa ambaye hajanunua naomba asinunue maana huu ni usanii wa wazi.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom