Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

shikamoo mwalimu, nimerudia kuingiza zile data upya zimekubali sasa channel zinablaze kama moto kwenye majani makavu yaliyomwagiwa petrol
  • Hongera
  • Hiyo ndio cccam, Full burudani, AFCON bila chenga.
  • Nasubiri feedback baada ya kumaliza siku tatu za matumizi.
  • KARIBU
 
  • Hongera
  • Hiyo ndio cccam, Full burudani, AFCON bila chenga.
  • Nasubiri feedback baada ya kumaliza siku tatu za matumizi.
  • KARIBU

Mkuu hii Best hd 4U yangu mbona inafreeze sana....shida nini?
 
Na logout namna gani? procedure please Mwl.RCT
  • Bonyeza MENU >> NETWORK >> SERVER SETTINGS >> CCCAM >> Server Number Chagua 2 >> LOGOUT kisha Weka OFF kwenye "AutoConnect"
  • Kwenye server1 hakikisha autoConnect ipo ON
  • Restart Receiver. Done
 
  • Bonyeza MENU >> NETWORK >> SERVER SETTINGS >> CCCAM >> Server Number Chagua 2 >> LOGOUT kisha Weka OFF kwenye "AutoConnect"
  • Kwenye server1 hakikisha autoConnect ipo ON
  • Restart Receiver. Done

Thanx kaka.... nikirudi home naifanyia kazi.... then nitakupa feedback. Thanx in advance
 
  • Bonyeza MENU >> NETWORK >> SERVER SETTINGS >> CCCAM >> Server Number Chagua 2 >> LOGOUT kisha Weka OFF kwenye "AutoConnect"
  • Kwenye server1 hakikisha autoConnect ipo ON
  • Restart Receiver. Done

Thanx brother it works 100%. Be blessed Mwl.RCT
 
Last edited by a moderator:
Thanx brother it works 100%. Be blessed Mwl.RCT

  • Ahsante kwa kuleta feedback, Tuko pamoja.
Baada ya kuweka New password imefungua...................sasa ni makamuzi ya burudani

  • Ahsante kwa mrejesho.
mwalimu naomba nisaidie trial account. Avatarcam account yangu imeexpire nisaidie trial wakt najipanga p

  • Hongera
  • Hiyo ndio cccam, Full burudani, AFCON bila chenga.
  • Nasubiri feedback baada ya kumaliza siku tatu za matumizi.
  • KARIBU
  • Mkuu the muter habari
  • Naomba utushirikishe uzuli na ubaya wa cccam baada ya matumizi ya siku Tatu ukilinganisa na account ya awali ya avatarcam. Kuwa muazi lengo ni kutoa elimu kwa wengine kuhusu cccam
  • Feedback yako itakuwa ni mchango mkubwa kwa wana JF & wengine watakaohitaji kutumia cccam account.
  • Karibu
 
Last edited by a moderator:
In stock

3 Month Cccam for tsh 65'000

6 Month Cccam for tsh 75'000

QSAT Q23G for TSH 230'000

QSAT Q26G for TSH 250'000

SPEED HDS1 for.TSH 230'000

BEST HD4U for TSH 260'000

AONE for TSH 260'000

Contact

0784 496 856, Skype: mw1rct , whatsapp: +255 784 496 856

Karibu
 
Killer Cccam mbona sijisikii tena? Au ndo kaputi !!!???

Ipo sokoni

Miezi 3 ni tsh 65'000

Na miezi sita ni tsh 75'000

Kwa ujumla server nne (4) ziko sokoni
1. Killer cccam
2. Tv1 cccam
3. A1star cccam na
4. Azsky newcam - Hawa soon watatoa decorder yao

Karibu 0784 496 856
 
Hiyo huduma nimeipenda sana.nieleze natakiwa kuwa na nini?.maana hapa kwangu nina dstv na decoder ya strong mp4 vilevile nina mordem ya airtel sasa kipi hapo niongezee na niapishi kuna network ya 2g
 
Nieleze natakiwa kuwa na nini?
  • Kwanza: GPRS Decorder mojawapo kati ya hizi nilizotaja - Waweza chukua AONE, QSAT au SPEED HD, sababu hizi zinafanya vyema kwenye GPRS Network
  • Pili: CCcam Account
  • Karibu , Piga 0784 496 856 Kwa ufafanuzi zaidi
Hiyo huduma nimeipenda sana.nieleze natakiwa kuwa na nini?.maana hapa kwangu nina dstv na decoder ya strong mp4 vilevile nina mordem ya airtel sasa kipi hapo niongezee na niapishi kuna network ya 2g
 
  • Ahsante kwa kuleta feedback, Tuko pamoja.


  • Ahsante kwa mrejesho.



  • Mkuu the muter habari
  • Naomba utushirikishe uzuli na ubaya wa cccam baada ya matumizi ya siku Tatu ukilinganisa na account ya awali ya avatarcam. Kuwa muazi lengo ni kutoa elimu kwa wengine kuhusu cccam
  • Feedback yako itakuwa ni mchango mkubwa kwa wana JF & wengine watakaohitaji kutumia cccam account.
  • Karibu

mkuu kuna muda inapita mpaka masaa mawili picture hakuna , tena toka Jana nilivyobadili password kustak kumezidi, yani haivushi nusu saa.sasa sijui tatizo nn kwan status inakuwa connected vzr
 
Last edited by a moderator:
jamiifprums_dec.jpg
 
In stock


3 Month Cccam for tsh 65'000


6 Month Cccam for tsh 75'000

>>> Chgaguo ni lako la CCcam upendayo kuna: A1, TV1 or Killer


QSAT Q23G for TSH 230'000


QSAT Q26G for TSH 250'000


SPEED HDS1 for.TSH 230'000


BEST HD4U for TSH 260'000


AONE for TSH 260'000


Contact


0784 496 856, Skype: mw1rct , whatsapp: +255 784 496 856


Karibu
 
jamiifprums_dec.jpg
Jipatie MPEG4, Full HD (1080p) Decorder - Zenye uwezo wa kufungua Local FTA Channel, CANALSAT na DSTV
Bure - Bila malipo ya Kila Mwezi
Aina za MPEG4 Full HD Decorder zilizopo :

  1. BEST HD4U (Call for price 0784 496 856 )
>> Ina account ya mwaka mmoja ya TV1 CCcam [Server 1] inayofungua Channel za DSTV Eutelsat 36E |Channel Line-up |

>> Ina account ya mwaka mmoja ya ZAP CCcam [Server 2] inayofungua Channel za ZAP EutelSat 35.9E |Channel Line-up |

>> Server mbili tofauti zinakuhakikishia kuwa "ON Air" muda wote.

>> Utapewa BURE 3G HUAWEI MODEM

>> Waweza itumia kama FTA receiver hivyo ukapata Local Channel Zote hapa Amos 5 17.0°E|Free TV from Tanzania - LyngSat |
hos93ek9luu23njso0wj.jpg
2. ALL IN ONE (Call for price 0784 496 856 ) { Mzigo umewasili Tayari Tarehe 16/12/2014 }
A-ONE AONE HD GPRS DVB-S2 Satellite Receiver
>> one year free account for:


>> 36.0E Eutelsat 36B DSTV


>> 68.5E Intelsat 20 DSTV South Africa


>> 22.0W SES-4 Canalsat Afrique


>> Suppport cccam, newcam etc


>> Support IPTV


>> Call now for Price +255 784 496 856 and get ALL IN ONE as family XMAS & NEW YEAR GIFT
m_SAM_0216.jpg


3. QSAT Q23G TSH 230'000 >> QSAT Q23G ni receiver ya mpeg 4 HD

>> Ina account ya mwaka mmoja AVATACAM HD - Eutelsat 36E |Channel Line-up |

>> Waweza itumia kama FTA receiver hivyo ukapata Local Channel Zote hapa Amos 5 17.0°E|Free TV from Tanzania - LyngSat |

>> Utapata IPTV zaidi 150 ikiwemo BEINSPORT 1 - 15

plvtewhdbhnb95c70hm7.jpg

4. SPEED HD S1 TSH 230'000
>> Inakuja ikiwa na account ya canalsat 22w | Channel Line-up | ya mwaka mmoja bure

>> Waweza kuweka Account zingine uzipendazo kama avatacamhd, tv1 cccam au a1star cccam.

Speed_1.jpg


Bei ya Hizi Decorder:
1. QSAT Q23G @ TSH 230'000 Tu
2. SPEED HD S1 @ TSH 230'000 Tu
3. BEST HD 4U - Call for Price 0784 496 856
4. ALL IN ONE - Call for Price 0784 496 856

Jinsi ya Kupata DECORDER HIZI:
1. Pay & Pick on Spot - Kwa wakazi wa Dar Es Salaam na
2. Wale wa mikoani utatumiwa kwa njia ya basi na utalipia zaidi TSH 10'000 ya kusafirishia

Sifa za jumla ya hizi Mpeg4 Full HD (1080) Receivers

  1. Zinakuwezesha kufulahia channel zaidi ya channel 300 bure ikiwa hii ikiwa ni pamoja na Channel za Soka, Filamu, Documentary, Habari, Muziki, Filamu za Kihindi na bila kusahau channel za katuni kwa watoto.
  2. Weza unga internet kwa kutumia (1) 3G NERTWORK (2) LAN INTERNET (3) GPRS. (4) WIFI NERTWORK [ Inatakiwa uwe na wireless adapter]
  3. Waweza kutembelea site kama YOUTUBE, REDTUBE, YOUPORN kwa kutumia receiver hizi.
  4. Zinakuwezesha kuangalia IPTV Channel, tv zaidi 150 katika ubora wa HD
  5. Kwa ufupi zinafungua full premium package za PayTv kama dstv, canalsat, beinsport, n.k - Kutegemeana na Account utakayoweka

BEI YA ACCOUNT
- Kwa QSAT/ SPEED HD/ XMASTER

3 Month CCcam TSH 65'000
6 Month CCcam TSH 75'000
12 Month CCcam TSH 110'000

CCCAM ACCOUNT ZILIZOPO

A1STAR CCCAM
TV1 CCCAM
KILLER CCCAM

JE KUNA KITU HUJAELEWA USISITE KUWASILIANA NAMI

MAWASILIANO:
- Whatsapp
# +255 784 496 856
- Call/sms
# 0717 54 57 62 / 0784 496 856

HUDUMA NYENGINE






Kwa watumiaji wa cccam, wakati wowote ukipata tatizo

  1. Angalia internet connection kama ipo active/ inactive Bonyeza Menu >> Settings >> Ethernet Config >> Config >> Link /Shut Down
lGnPkb

2. Anaglia status ya CCCam account je ipo Connected / Disconnected

80wPRh

KARIBU

Napata s1 na s9 only, what about the other channels s2,s3,s4,s5,s7? I do not get it. pls help me..
 
Napata s1 na s9 only, what about the other channels s2,s3,s4,s5,s7? I do not get it. pls help me..
  • Tumia A1 Server itakupatia SS1,SS2,SS3,SS4,SS5,SS6,SS7 & SS9
  • Pia TV1 server itakupatia hiki ukitakacho
  • Hivyo hapo una machaguo mawili
  • Karibu - Call 0784 496 856
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom