Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

Yeah, ni default settings, ila sina premium account wamenipa siku 15 trial. Sio kasi sana ukilinganisha na PIA. Endelea kuhangaikia iphone mkuu!@ MWL
 
nitawezaje kuwa authorized reseller kutoka pd-proxy? Mwl.RCT
 
Mimi naona kama huu ni utapeli Mimi nimetuma 10,000 acha hiyo elfu nane yako kuna mtu huku anaitwa Muganda nimemtumia kwenye MPESA ananipa malogin name na password yote invalid kila nikimuuliza anasena ooh yeye mbona anaweza kuingia mimi siwezi na kilakitu nasettings ziko sawa kasema nitumie tu line ya Mdem ya Vodacom kasema kwa mwezi ni 10,000/=

Huyo jamaa unaemsema naona kama ana exist Zambia ingawa hapa ameblend names. Sasa sijui kama ana tofauti la kusema. Nimecheki hiyo list ya authorised resellers nikakuta kama ifuatavyo.
Capture.PNG
sasa aje hapa atuambie ni Mbongo au Mzambia. Location inaonesha yuko Zambia ila ukicheki namba zake za simu ni za bongo. Voda na Tigo.
 
Huyo jamaa unaemsema naona kama ana exist Zambia ingawa hapa ameblend names. Sasa sijui kama ana tofauti la kusema. Nimecheki hiyo list ya authorised resellers nikakuta kama ifuatavyo.
View attachment 123582
sasa aje hapa atuambie ni Mbongo au Mzambia. Location inaonesha yuko Zambia ila ukicheki namba zake za simu ni za bongo. Voda na Tigo.

Yeah huyo jamaa anaitwa Victor Mganda...nilipotuma hiyo 10,000/= kwenye MPESA ikatoa jina hilo na hizo namba zote ndiyo zake alizosema nitume hela to any of them.
 
mbona hii namba napiga huyu jamaa anayepokea hata hajui JamiiForums....yani naongea naye anaona kama Mazingaumbwe
 
Last edited by a moderator:
Kwa watumiaji wa PD
  • Ili kujua mwezi huu umetumia GB ngapi, Kama ionekanavyo hapo juu
  • Login kwenye account leo kabla ya 23.59, baada ya hapo count ya data inaanza upya
Ingia kwenye account yako kupitia hii link
 
Kama unapata shida ya connection kwa PD, TG nipigie 0768 92 48 41 ili nikusaidie
 
Mwl. Tunaomba alternative ya connection kwa watu wa mac, siku ya 3 sasa tuko gizani. This is very annoying na hatujui tatizo ni nini as hakuna majibu yanayojitosheleza.. All in all internet irudi bro… waiting..
 
Mwl.RCT PD haifanyikaz kabsa tokea jana tatizo ni nini mkuu? Hebu toa maelezo tujue kama permanent problem au vp.
 
Mwl.RCT PD haifanyikaz kabsa tokea jana tatizo ni nini mkuu? Hebu toa maelezo tujue kama permanent problem au vp.
  • Pd proxy hai connect port husika imekuwa blocked/ fixed
  • Alternative: Download na install tunnelguru then nipigie nikupe configuration
 
Ukiona manyoya, ujue keshaliwa…. Tafakari.
Mh haya bana...

  • Noted with thanks.
Mwl. Tunaomba alternative ya connection kwa watu wa mac, siku ya 3 sasa tuko gizani. This is very annoying na hatujui tatizo ni nini as hakuna majibu yanayojitosheleza.. All in all internet irudi bro… waiting..
  • Nitakujuza pindi huduma kwa mac users ikiwa stable
  • Karibu
​Any feedback upande wa TunnelGuru chineke
 
Last edited by a moderator:
TunnelGuru iko powa sana… back in business ila watu wa MAC na iphone mbona mnatutupa sana?
 
Back
Top Bottom