Osaba
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,942
- 802
- Je wewe una mac osx v10.6 or late?
- Na Je unahitaji Unlimited internet?
- Kama jibu ni ndio wasiliana nami ili kupata tunnel ya unlimited Internet sasa call/ sms 0768 92 48 41
Vp kuhusu ios
- Je wewe una mac osx v10.6 or late?
- Na Je unahitaji Unlimited internet?
- Kama jibu ni ndio wasiliana nami ili kupata tunnel ya unlimited Internet sasa call/ sms 0768 92 48 41
- Nitatakupa settings kwa PM then utanipa feedback
- Nitatakupa settings kwa PM then utanipa feedback
- ​Nimekujibu tayari kwenye PM. Karibu
Hapa kuna mambo mawiliKwenye cm za ios bado... Kama kuna njia nyingine tupeane ujanja pls.... Iphone jamani du.. Hivi ntawezaje kuigawia cm yangu net ya laptop? Kila nikiipa wi-fi, haiji na intenet. Pls
Mimi naona kama huu ni utapeli Mimi nimetuma 10,000 acha hiyo elfu nane yako kuna mtu huku anaitwa Muganda nimemtumia kwenye MPESA ananipa malogin name na password yote invalid kila nikimuuliza anasena ooh yeye mbona anaweza kuingia mimi siwezi na kilakitu nasettings ziko sawa kasema nitumie tu line ya Mdem ya Vodacom kasema kwa mwezi ni 10,000/=View attachment 109649
- Wadau wa pd, kuwa free 24/7 kunitafuta kwa hitaji lako la vocha. Tumia namba hii 0768 924 841
- Karibu
napata wapi modem a hilink na zinafananaje???? ila nimegundua tatizo la pd proxy kukata ni pale ambapo downdload speed inapofikia o/oo kb pd proxy inakata inakuwa haina mawasilioano,pia kama itawezeka kuzuia modem isifike 0.oo kb download hope itasaidia sana.?? na vipi speed ya tunnel guru ipo sawa na pd proxy?? sijawahi kutumia ila nahisi kama pd proxy ipo juu prove me wrong tafadhali​Ufumbuzi
- Ni kweli PD Proxy wakati mwingine huwa inasumbua kutokana na hili tatizo la disconnection, hasa hasa unapokuwa unafanya downloads
- Nilichojifunza: Rate ya disconnection nikubwa iwapo unatumia hizi modem zitumiazo dashboard, na hakuna disconnection pindi utumiapo hizi modem za WEB UI - mfano HUAWEI HILINK
​
- Unistall modem software, fanya cleaneup kwa kutumia ccleaner, restart PC , Then reinstall hiyo modem software
- Tumia modem za hilink
- Au Hamia TunnelGuru - Iko very stable , no disconnection, hatakama utaiacha connected 24hrs
Zipo mlimani citynapata wapi modem a hilink na zinafananaje????
Tumia software inaitwa reconnect, itapunguza rate ya disconnectionila nimegundua tatizo la pd proxy kukata ni pale ambapo downdload speed inapofikia o/oo kb pd proxy inakata inakuwa haina mawasilioano,pia kama itawezeka kuzuia modem isifike 0.oo kb download hope itasaidia sana.??
Nikipata muda nitafanya comparison ya speed kati ya TG na PD, Ila ni kweli PD speed yake ni kubwa ni sababu ya Data compression , Wakati kwa Guru hii feature sijaiona. Labda nitoe wito kwako ufanye majaribio ili kupata ukweli yupi zaidivipi speed ya tunnel guru ipo sawa na pd proxy?? sijawahi kutumia ila nahisi kama pd proxy ipo juu prove me wrong tafadhali
Mimi naona kama huu ni utapeli Mimi nimetuma 10,000 acha hiyo elfu nane yako kuna mtu huku anaitwa Muganda nimemtumia kwenye MPESA ananipa malogin name na password yote invalid kila nikimuuliza anasena ooh yeye mbona anaweza kuingia mimi siwezi na kilakitu nasettings ziko sawa kasema nitumie tu line ya Mdem ya Vodacom kasema kwa mwezi ni 10,000/=
Maelezo niliyokuwa nimetoa haya hapaSijaiona mkuu
Mwl.RCT said:Osaba said:Kwenye computer ipi ni nzuri na yenye speed tunnel guru au vpn?TORRENT SERVER - Kwa Pd proxy wakati mwingine hujitokeza hii msg "Server is Full" hivyo kushidwa kuunga internet kwa torrent server. Wakati kwa upande wa TunnelGuru hakuna hili tatizo
- Kumbuka TunnelGuru ni vpn
- Je ulimaanisha ipi nzuli kati ya TUNNELGURU VPN na PD PROXY VPN?
- Kama ni ndio, nitatumia vigezo viwili
STABILITY - TunnelGuru VPN ipo stable zaidi ukilinganisha na PD Proxy VPN - Mfano ukiwa umekonnect PD na Guru kwenye internet kwa wakati mmoja, Baada ya muda mfano baada ya masaa mawili - utakuta PD proxy imeshakuwa disconnected wakati TunnelGuru hata kama utaiacha 24hrs huwa hakuna Disconnectio
Hivyo basi TunnelGuru ni nzuli zaidi ukilinganisha na PD
Maelezo niliyokuwa nimetoa haya hapa