Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

Jipatie: PD PROXY PREMIUM ACCOUNT

Vp kuhusu ios
  • Kwa ios jaribu ingia hii link
Code:
[URL="http://www.kiwivpn.com/kiwivpn-free-vpn/"]http://www.kiwivpn.com/ios-vpn/[/URL]

  • Ikikubali nijulishe ili nikuunge na premium account
Karibu
 
Update 09 Oct 2013

[h=2]Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each[/h]
TunnelGuru zipo voucher 50, kila moja inauzwa tsh 6,500 tu.

PD PRoxy Voucher pia zipo 50 na kila moja ni tsh 6,500 tu

Malipo yafanyike kupitia 0768 924 841

Bei ya kawaida ya voucher itaendelea baada ya kwisha hizi voucher za offer. Karibuni


Kwa watumiaji wapya wa TunnelGuru Internet na PD Proxy Internet pata maelezo kwenye hii link
Code:
[URL="http://mwlrct.blogspot.com"]TunnelGuru & PD Proxy Internet[/URL]
 
Examples za location?i mean servers u can choose to connect with for vpn
[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]Pd Proxy Server Location[/TD]
[TD]PD Proxy Server Locations[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Canada [/TD]
[TD]USA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]UK[/TD]
[TD]Moscow[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]USA [/TD]
[TD]UK[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Germany [/TD]
[TD]Germany[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Netherlands[/TD]
[TD]Netherlands[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Lithuania[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]

+ 8 Servers for complete Anonymous Surfing
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
  • Tazama luninga za kimataifa pamoja na soka kupitia hii site.
    Code:
    [URL="http://www.filmon.com/tv/"]Web TV | Free web tv | Free Live Television | Live Tv Channels | Video on demand for free | Best Social Tv | Free streaming tv channels | Battlecam |[/URL]

  • Karibu
hi hili jambo inaonekana ni zuri na huenda wengi tungependa kuwa nalo naamini kabisa watanzania wengi wanapenda sana kufuatilia mambo kupitia internet lakini nafikiri kuna tatizo la uelimishaji kwa sisi walio wageni kwenye hii pd proxy
nimejaribu kusoma maelezo mengi humu lakini sikubahatika kuambulia chochote chakuwezakunisaidia vizuri zaidi ya kuingia kwenye web site yao nakudownload software yao ambayo pia katika maelezo yako umesema haitafanya kazi vizuri mi afikiri ungetoa maelezo vizuri inatumia mordem zetu kwasim card ip mimi binafsi nitakupigia simu kama uko free kunipa maelezo binafsi
 
Nimejiunga na hiyo pd proxy, yani hakuna kitu, unaunganisha after 15 minutes inakata, ukiunganisha tena haiungi hadi kesho yake asubuh. Mambo ni yale yale. Speed ni ndogo hakuna mfano na kuna wakati inagoma hata kufungua mozilla. Nikijaribu kudownload, yani ni majanga majanga. Na sehemu niliyopo ni nzuri haina shida ya mtandao kabisa.
 
Nimejiunga na hiyo pd proxy, yani hakuna kitu, unaunganisha after 15 minutes inakata, ukiunganisha tena haiungi hadi kesho yake asubuh. Mambo ni yale yale. Speed ni ndogo hakuna mfano na kuna wakati inagoma hata kufungua mozilla. Nikijaribu kudownload, yani ni majanga majanga. Na sehemu niliyopo ni nzuri haina shida ya mtandao kabisa.
  • Hapo kwenye red ungeomba maelekezo uelekezwe nini cha kufanya, Upatapo tatizo kama hilo, ni vyema kutafuta ufumbuzi wa tatizo na si kulikimbia tatizo.
  • Hapo kwenye Blue wazungumzia speed. Angalia GB wanazodownload wenzako kwa speed unayoiita majanga
Picha ya Kwanza
4itm.png

Picha ya Pili
04tn.png

Picha ya Tatu
z7vw.png


  • Ndugu Bulldog inatakiwa ukubali kwamba tatizo ni PC yako, Na uombe ushauri nini cha kufanya ili performnce ya internet iwe nzuli.
  • Karibu kama unaswali kuhusiana na haya maelezo yangu.
 
Last edited by a moderator:
hi hili jambo inaonekana ni zuri na huenda wengi tungependa kuwa nalo naamini kabisa watanzania wengi wanapenda sana kufuatilia mambo kupitia internet lakini nafikiri kuna tatizo la uelimishaji kwa sisi walio wageni kwenye hii pd proxy
nimejaribu kusoma maelezo mengi humu lakini sikubahatika kuambulia chochote chakuwezakunisaidia vizuri zaidi ya kuingia kwenye web site yao nakudownload software yao ambayo pia katika maelezo yako umesema haitafanya kazi vizuri mi afikiri ungetoa maelezo vizuri inatumia mordem zetu kwasim card ip mimi binafsi nitakupigia simu kama uko free kunipa maelezo binafsi
  • Nimeuelewa vizuri ushauri wako.
  • Nimekutumia PM ya maelezo zaidi.
Karibu ndugu
 
nishagive up.

  • Hapo kwenye red ungeomba maelekezo uelekezwe nini cha kufanya, Upatapo tatizo kama hilo, ni vyema kutafuta ufumbuzi wa tatizo na si kulikimbia tatizo.
  • Hapo kwenye Blue wazungumzia speed. Angalia GB wanazodownload wenzako kwa speed unayoiita majanga
Picha ya Kwanza
4itm.png

Picha ya Pili
04tn.png

Picha ya Tatu
z7vw.png


  • Ndugu Bulldog inatakiwa ukubali kwamba tatizo ni PC yako, Na uombe ushauri nini cha kufanya ili performnce ya internet iwe nzuli.
  • Karibu kama unaswali kuhusiana na haya maelezo yangu.
 
nishagive up.
  • Chuku hii TunnelGuru, Sababu umesha give up kwa PD Proxy
  • Chukua TunnelGuru ,
  • Nitakupa 2-days for free,PC yako hiyo hiyo tutaifanyia Configuration, Na hakika utafurahia speed. Ukilizika ndipo ulipia just elfu 8 tu, after the 2 days trial.
  • Hakuna mteja wangu yeyote aliyepata shuda na nikashidwa kumsaidia - kumbuka tupa hapa jF kusaidiana.

Mahitaji ya TunnelGUru

  1. Jisajili hapa: Registration: Free Anonymous Web Proxy , HTTP Tunnel , VPN Tunnel , ICMP Tunnel , DNS Tunnel , HTTP Proxy Provider : TunnelGuru
  2. Download TunnelGuru x32bit au x64bit Toka hapa: Download : TunnelGuru Free Anonymous Web Proxy , HTTP Tunnel , VPN Tunnel , ICMP Tunnel , DNS Tunnel , HTTP Proxy Provider : TunnelGuru
  3. Download Java x32bit au x64bit

​Ukiisha pata hayo mahitaji fuata maelekezo ya PIcha ili kuiseti hiyo tunnelguru toka hapa: Jipatie: FUATA HATUA ZIFUATAZO ILI KUPATA HUDUMA YA TUNNELGURU
Ukimaliza kufanya settings dont connect ni sms kwa namba 0768 92 48 41 ili nikupe maelekezo ya mwisho,mfano jinsi ya kuweka working DNS querry.

Karibu

 
wewe weka link ya kudownload pd prox for win 8 64bit
 
Back
Top Bottom