Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,884
- 2,765
Yani ikabidi tuweke kambi nje maana ndani hakukaliki. Hakuna kilichoharibika maana pilau iliondoa sonona
Kama pilau sio? 😁Hamna kitu hapo.Vitu vizuri hufanyika au kuliwa gizani.
TANESCOYani ikabidi tuweke kambi nje maana ndani hakukaliki. Hakuna kilichoharibika maana pilau iliondoa sonona
View attachment 2913230
Tunaangaza maisha yako
Utaonaje viungo?Kama pilau sio? 😁
Ndio maana tuna simu hapoUtaonaje viungo?