Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,850
Ndugu kwa masikitiko makubwa.
Ipo nguvu iliyopo mioyoni mwa wazazi wetu, ndugu, jamaa na marafiki na hata wazee wetu kabisa ya kumlazimisha mara kwa mara kijana aliyefika 30+ kuoa pasi na kupepesa macho upande wa pili
Utakuta kijana akienda kusalimia kwao ana lazimishwa kuoa mpaka anaona nyumbani ni kero kweli kweli, ndugu wana mshambulia , dada zake ndiyo usiseme anakaliwa kakikao kabisa wakidai ni lini utatuketea wifi, wazazi wataseme unataka tufe ndiyo uoe kwa kweli hili jambo ni gumu sana.
Hii nguvu ukiifatilia sana haina tofauti na nguvu za uharibifu unamsukuma kijana kuoa,unamjaza stress na presha juu unatarajia nini si nikumuangamiza huku kwa makusudi kabisa.
Hebu njoeni mseme wenyewe kwa hawa wanawake wasasa hawa wazee na ndugu zetu wanatuchukuliaje sisi vijana wa 30+ ambao hatujaoa
Ipo nguvu iliyopo mioyoni mwa wazazi wetu, ndugu, jamaa na marafiki na hata wazee wetu kabisa ya kumlazimisha mara kwa mara kijana aliyefika 30+ kuoa pasi na kupepesa macho upande wa pili
Utakuta kijana akienda kusalimia kwao ana lazimishwa kuoa mpaka anaona nyumbani ni kero kweli kweli, ndugu wana mshambulia , dada zake ndiyo usiseme anakaliwa kakikao kabisa wakidai ni lini utatuketea wifi, wazazi wataseme unataka tufe ndiyo uoe kwa kweli hili jambo ni gumu sana.
Hii nguvu ukiifatilia sana haina tofauti na nguvu za uharibifu unamsukuma kijana kuoa,unamjaza stress na presha juu unatarajia nini si nikumuangamiza huku kwa makusudi kabisa.
Hebu njoeni mseme wenyewe kwa hawa wanawake wasasa hawa wazee na ndugu zetu wanatuchukuliaje sisi vijana wa 30+ ambao hatujaoa