Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,044
- 13,372
Nimefahamu kwanini unatfuna kucha🤣Basi mimi ni meat mate😍🥂
Nimefahamu kwanini unatfuna kucha🤣Basi mimi ni meat mate😍🥂
nina kucha ndefu sana nikizifuga🌚Lakini sitafuni kucha kama wewe🤣
Niko tayari😋,usisahau machonina kucha ndefu sana nikizifuga🌚
Sijui nikuonyeshe uache kunisema🌚😭
🤣🤣 kwa nini ujichagulie mweka hazina na kamati haijakaaMm muweka hazina wenu 😂😂
Macho ni Siri yangu😌 maana hutoweza kulala.Niko tayari😋,usisahau macho
Hizo kwa right hand ndio zipatie likizo tafadhali🤣..utajikula nyamaHizo hapo
Naomba iwe siri yetu bila ya Mzee wa kupambania kuona 🤣Macho ni Siri yangu😌 maana hutoweza kulala.
Yaani nimeacha kula kucha siku hizi hapo ndio nimejitahidi 😌Hizo kwa right hand ndio zipatie likizo tafadhali🤣..utajikula nyama
Akuu🤣Naomba iwe siri yetu bila ya Mzee wa kupambania kuona 🤣
Unaweza tumia karanga au siagi yake pia radha inakua nzuri tu sisi mabachela ndio milo yetu hii siku tukiwa home then unakula na dona balaa tupuLamomy ukampikie shemeji 😀😀
Unanitia aibu😅Yaani nimeacha kula kucha siku hizi hapo ndio nimejitahidi 😌
Oya Zulu man mbona kwenye mambo matamu unanitenga mwanangu na mimi nione macho ya mrembo hayo 🤣Naomba iwe siri yetu bila ya Mzee wa kupambania kuona 🤣
😂 mama alikuwa ananichapa mikononi sana nilivyokuwa mdogo.Unanitia aibu😅
Wala hawezi kuyaona🌚Oya Zulu man mbona kwenye mambo matamu unanitenga mwanangu na mimi nione macho ya mrembo hayo 🤣
Niko PM hivyo nasubiriAkuu🤣
Ukiwa na umri gani ?😂 mama alikuwa ananichapa mikononi sana nilivyokuwa mdogo.
Kwa hiyo ataishia kuona kucha tu😅😅😅Wala hawezi kuyaona🌚
😂😂Vijana mnatuonea sanaHuwez kuwa efficient kama mm mweny kucha fupi, utakataje nyanya na kucha marefu kama sio utahangaika tuu nyanya moja unakata dakika kumi.
Mi mweny napika ghetto, hao makucha marefu wakijaga wanaanza kujishaua "ooh niache nikupikie", sawa mama pika, bac bhana utacheka yupo slow kinoma makucha yanamsumbua hadi nikamwambia ebu kakae huko niache nipike mwenyew.