Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 15,804
- 37,761
Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako
Iriki au vanilla
Sukari /chumvi ni vile upendavyo
Yai moja au mawili
Maji ya baridi
Hatua
Chukua bakuli safi na kavu weka ngano na sukari Changanya kidogo Kisha Anza kuweka Maji ya baridi kidogo kidogo huku unakoroga had utapoona ngano Yako imekuwa uji mzito hakikisha hauna mabonge
Ongezea mayai pamoja na iriki au vannila endelea kukoroga kama itakuwa Bado nzito ongezea maji kidogo Ili upate uji ambao sio mzito Wala mwepesi Sana
JINSI YA KUPIKA
Weka pan Yako jikoni subir ipate moto hakikisha moto sio mkali. Kama pan sio non stick ipake mafuta kidogo ikipata joto
Weka uji wako wa ngano katika pan acha Kwa dakika 1 au 2 had uone Inakuwa kavu kidogo geuza upande wa pili nao acha kidogo Kisha weka mafuta nusu kijiko Chakula upande mmojaKisha geuza upande mwingine nao hivo had uone imebadilika rangi
Toa chapat zako jikoni zitakuwa tayari. Sio mjuzi sana wa mapishi karibuni pia kuongezea maoni
Unaweza kunywa na chai ya rangi hata maziwa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako
Iriki au vanilla
Sukari /chumvi ni vile upendavyo
Yai moja au mawili
Maji ya baridi
Hatua
Chukua bakuli safi na kavu weka ngano na sukari Changanya kidogo Kisha Anza kuweka Maji ya baridi kidogo kidogo huku unakoroga had utapoona ngano Yako imekuwa uji mzito hakikisha hauna mabonge
Ongezea mayai pamoja na iriki au vannila endelea kukoroga kama itakuwa Bado nzito ongezea maji kidogo Ili upate uji ambao sio mzito Wala mwepesi Sana
JINSI YA KUPIKA
Weka pan Yako jikoni subir ipate moto hakikisha moto sio mkali. Kama pan sio non stick ipake mafuta kidogo ikipata joto
Weka uji wako wa ngano katika pan acha Kwa dakika 1 au 2 had uone Inakuwa kavu kidogo geuza upande wa pili nao acha kidogo Kisha weka mafuta nusu kijiko Chakula upande mmojaKisha geuza upande mwingine nao hivo had uone imebadilika rangi
Toa chapat zako jikoni zitakuwa tayari. Sio mjuzi sana wa mapishi karibuni pia kuongezea maoni
Unaweza kunywa na chai ya rangi hata maziwa