Jinsi ya kupata UK Visa

Jinsi ya kupata UK Visa

Mkuu nipe njia hata za kwenda australia ua canada
Inabdi uende kama mwanafunzi then ukifika kule ubadili ngano kuwa mchele.

Au upate mualiko uende as a visitor then pia ufanye makeke uoe upate mi permit ubaki.

Au upate job offer/sponsor ukapige kazi nnje which is very difficult mpaka wakose raia wa kule mfano wakikosa UK watatafuta mtu from the European Union wakikosa tena ndio waje Africa probably wataangalia kwanza South Africa wakiku recruit ndio waku sponsor.

Uta decide njia ipi inakufaa.
 
Ndugu kama unataka kwenda saka maisha mazuri bila stress nenda Scandinavian countries kama Norway .. Sweden... Denmark

Ni nchi rahisi kupata visa lkn pia mfumo wao wa maisha ni rahisi sana sana kutoka coz ajira ni za kutosha pia maslahi ni mazuri.

Mkuu hebu nipe maujanja ya kupenya Norway na sweden mana ndo nchi ninazozitaman... Na je ni lazima ujue lugha yao ndo uweze pata kazi?
 
That is very TRUE. Nobody is ever gana tell you how they live nd managed to remain mbelez i.e. UK or US. NEVER !!!

Again it depends how far a person likes u. Very few nigerians will be willing to tell u the truth. Kuna mmoja alikua ni mwanangu mnoooo.....aliniambia na kuni guide on many many things kipindi bado mgeni mgeni UK.

Unakuta watu mmeanza wote skul ila mwenzio ile mna maliza tu shule mwenzako ana 5 year work visa ndio hapo utakapo tia akili mwenzio kapenya penya vipi.

Bora hata umenisaidia maana hapa kuna watu wengine wanafikiri hizi ni stori za vijiweni
 
Inabdi uende kama mwanafunzi then ukifika kule ubadili ngano kuwa mchele.

Au upate mualiko uende as a visitor then pia ufanye makeke uoe upate mi permit ubaki.

Au upate job offer/sponsor ukapige kazi nnje which is very difficult mpaka wakose raia wa kule mfano wakikosa UK watatafuta mtu from the European Union wakikosa tena ndio waje Africa probably wataangalia kwanza South Africa wakiku recruit ndio waku sponsor.

Uta decide njia ipi inakufaa.
Nakumbuka mwaka juzi nilipata zali la kwenda Sweden koz tuna marafik zetu hasa issue hizi za makanisa...kule nimekaa kama two weeks hivi nikapata mtoto wa kiswedish sasa tulikuwa na 3 weeks then la last week napata mtoto daah nikajua nimeula...tukapiga first date nn pale kati japo siku sex nae ila maromance nini yaan nikajua nimeula....issue kubwa iliyo kuja kuzingua ilikuwa umri koz dogo alikuwa 17 then mm 21 so si mnajua mbele suala la umri wako strictly sana dogo akiniambia msua wake ka mind anataka anireport police kwa ku date N yy Chini umri 17..baadae ikabid nisepe turud tz so dogo akaanza zingua siku hizi naishia kuchat nae tuu kwa email then hajibu kwa wakat.
Mwaka huu na maliza chuo nataka nika some masters next year so hapa wakuu Naweza fanya vip japo wale wazungu wanielewe wanipe nipate chance ya kwenda kusoma hii ukiachana na schorship.
 
Nakumbuka mwaka juzi nilipata zali la kwenda Sweden koz tuna marafik zetu hasa issue hizi za makanisa...kule nimekaa kama two weeks hivi nikapata mtoto wa kiswedish sasa tulikuwa na 3 weeks then la last week napata mtoto daah nikajua nimeula...tukapiga first date nn pale kati japo siku sex nae ila maromance nini yaan nikajua nimeula....issue kubwa iliyo kuja kuzingua ilikuwa umri koz dogo alikuwa 17 then mm 21 so si mnajua mbele suala la umri wako strictly sana dogo akiniambia msua wake ka mind anataka anireport police kwa ku date N yy Chini umri 17..baadae ikabid nisepe turud tz so dogo akaanza zingua siku hizi naishia kuchat nae tuu kwa email then hajibu kwa wakat.
Mwaka huu na maliza chuo nataka nika some masters next year so hapa wakuu Naweza fanya vip japo wale wazungu wanielewe wanipe nipate chance ya kwenda kusoma hii ukiachana na schorship.
Sasa sijakuelewa ni kwamba una hofu unafatiliwa na police ama ?? Maana ulaya ukijikuta una nyege mshindo...ukasema ugonge under-age utapotea na itaku cost a fortune.

Ile week nimetua tu hivi washkaj walini warn sanaaa cz madogo wengine kule miili jumba alaf umri fyongo, au utoke na mtoto club huko kalewa ndio ulete nyege zako utake advantage utalost akikuitia ma mwera hata dem akiwa muongo utapata wakat mgumu sanaa.

Scholarship ndio hivyo vigezo vingi hawaangalii tu academic grades...in addition wanaangalia substantial achievements ulizo earn that highly relate na ur academic performances/backgrounds na kwamba ile scholarship watakayokupa is likely to take you to the next level / advance ur exposure. Ndio hapo sasa mtu 50 wana win wa 2 au 3. (Tehe vya bure gharama, jipange tu mwenyewe ikiwezekana)

Wanaosoma UK 95 % wanajilipia wenyewe.
 
Nakumbuka mwaka juzi nilipata zali la kwenda Sweden koz tuna marafik zetu hasa issue hizi za makanisa...kule nimekaa kama two weeks hivi nikapata mtoto wa kiswedish sasa tulikuwa na 3 weeks then la last week napata mtoto daah nikajua nimeula...tukapiga first date nn pale kati japo siku sex nae ila maromance nini yaan nikajua nimeula....issue kubwa iliyo kuja kuzingua ilikuwa umri koz dogo alikuwa 17 then mm 21 so si mnajua mbele suala la umri wako strictly sana dogo akiniambia msua wake ka mind anataka anireport police kwa ku date N yy Chini umri 17..baadae ikabid nisepe turud tz so dogo akaanza zingua siku hizi naishia kuchat nae tuu kwa email then hajibu kwa wakat.
Mwaka huu na maliza chuo nataka nika some masters next year so hapa wakuu Naweza fanya vip japo wale wazungu wanielewe wanipe nipate chance ya kwenda kusoma hii ukiachana na schorship.
Yaani sadaka zetu kumbe mnaenda kuzifanyia mambo ya romance...
 
Yaani sadaka zetu kumbe mnaenda kuzifanyia mambo ya romance...
Hapana mkuu issue ilikuwa kama mwaliko wa kutembea so kila kitu waligharamia wao.. Kwa hyo katika kupita pita tukio kama hilo likatokea.
 
Sasa sijakuelewa ni kwamba una hofu unafatiliwa na police ama ?? Maana ulaya ukijikuta una nyege mshindo...ukasema ugonge under-age utapotea na itaku cost a fortune.

Ile week nimetua tu hivi washkaj walini warn sanaaa cz madogo wengine kule miili jumba alaf umri fyongo, au utoke na mtoto club huko kalewa ndio ulete nyege zako utake advantage utalost akikuitia ma mwera hata dem akiwa muongo utapata wakat mgumu sanaa.

Scholarship ndio hivyo vigezo vingi hawaangalii tu academic grades...in addition wanaangalia substantial achievements ulizo earn that highly relate na ur academic performances/backgrounds na kwamba ile scholarship watakayokupa is likely to take you to the next level / advance ur exposure. Ndio hapo sasa mtu 50 wana win wa 2 au 3. (Tehe vya bure gharama, jipange tu mwenyewe ikiwezekana)

Wanaosoma UK 95 % wanajilipia wenyewe.
Yaan mkuu ule mda baba ake alitaka kuni report kwa police ila mtoto akamkataza kwasababu yeye ndio alie amua kufanya hivyo.
Pia issue ya ku mpata huyu mtoto kuna mchezo fulani tulikuwa tuna cheza, sasa yeye alionekana ana weza sana na kila anaecheza nae ana win alipo cheza na mimi nikashinda so akawa ameshangaa sana ndio pale masuala ya kujuana nini yakaanza Pale pale.
Nataka kuuliza kama tayari nilisha pata visa ya kwenda mbele je nikiomba Tena itakuwa rahisi au vip hii kwa sababu hapo Mwanzo niliweza kupata
 
Yaan mkuu ule mda baba ake alitaka kuni report kwa police ila mtoto akamkataza kwasababu yeye ndio alie amua kufanya hivyo.
Pia issue ya ku mpata huyu mtoto kuna mchezo fulani tulikuwa tuna cheza, sasa yeye alionekana ana weza sana na kila anaecheza nae ana win alipo cheza na mimi nikashinda so akawa ameshangaa sana ndio pale masuala ya kujuana nini yakaanza Pale pale.
Nataka kuuliza kama tayari nilisha pata visa ya kwenda mbele je nikiomba Tena itakuwa rahisi au vip hii kwa sababu hapo Mwanzo niliweza kupata
Dah aisee seems we bwana mdogo sanaa. Anyway iko hivi wewe ulienda last tym kwa sponsorship ya kanisa its obvious its a (Visitor/Religious Visa) visa hyo ina vigezo vyake na haikuruhusu wewe kuishi huko sweden na kufanya kazi as a normal citizen inshort we ulienda kule kama mtalii tu ni ww umeenda kule na hela zako kutoka bongo ukaenda kule ku spend tu ila there is no way ungeruhusiwa kufanya kazi kule au biashara kwa visa hyo ukikiuka taratibu ni ban, deportation + jela (wakikuhurumia sana wataku dump hapo JKNIA airport)

Kwenda kule kama mwanafunzi kuna visa ya aina nyingine una apply na ili upewe kuna vigezo flan lazma utimize inclusive of a Certified Acceptance of Studies, barua itakayotolewa huko chuoni mbelez ku prove umekubaliwa entry chuo na umelipa ada. Then utabidi uweke pesa kiasi flan in ur bank a/c for 28 days or 30 proving una pesa za kujikimu ukiwa kule as a student. Then una apply hyo visa ubalozi sasa na makabrasha yako i.e. bank statements, CAS Letter na mengine. Then utagongewa visa yako fresh na kibali cha kufanya kazi. UK naskia wanataka waje kutoa hyo work permit huko mbeleni (waseng* tu, hamna issue kule hata hvyo)

Hope nimekusaidia kuelewa at a certain degree.
 
Dah aisee seems we bwana mdogo sanaa. Anyway iko hivi wewe ulienda last tym kwa sponsorship ya kanisa its obvious its a (Visitor/Religious Visa) visa hyo ina vigezo vyake na haikuruhusu wewe kuishi huko sweden na kufanya kazi as a normal citizen inshort we ulienda kule kama mtalii tu ni ww umeenda kule na hela zako kutoka bongo ukaenda kule ku spend tu ila there is no way ungeruhusiwa kufanya kazi kule au biashara kwa visa hyo ukikiuka taratibu ni ban, deportation + jela (wakikuhurumia sana wataku dump hapo JKNIA airport)

Kwenda kule kama mwanafunzi kuna visa ya aina nyingine una apply na ili upewe kuna vigezo flan lazma utimize inclusive of a Certified Acceptance of Studies, barua itakayotolewa huko chuoni mbelez ku prove umekubaliwa entry chuo na umelipa ada. Then utabidi uweke pesa kiasi flan in ur bank a/c for 28 days or 30 proving una pesa za kujikimu ukiwa kule as a student. Then una apply hyo visa ubalozi sasa na makabrasha yako i.e. bank statements. CAS Letter na mengine. Then utagongewa visa yako fresh na kibali cha kufanya kazi. UK naskia wanataka waje kutoa hyo work permit huko mbeleni (waseng* tu, hamna issue kule hata hvyo)

Hope nimekusaidia kuelewa at a certain degree.
Yes mkuu hapo nimekuelewa, je kama mtu kakupa mwaliko then unaenda Lakin baadae una change may be una decide kukaa kule...
Kuna washkaj walikuwa wananiambia ni jilipue sasa nikapiga hesabu na hii baridi ilivyo kali plus pesa nilikuwa na kama korona 3000 nikaona isiwe tabu ila na mpango ni mset huyu mtoto wa kizungu japo anazingua sasa hivi nikiweza niende au nifanye process ya scholarship ya kuapply mwenyewe au ni bonge na wazungu hawa kozi kuna hati hati ya kwenda Tena mwezi 12 hivi.
 
Yes mkuu hapo nimekuelewa, je kama mtu kakupa mwaliko then unaenda Lakin baadae una change may be una decide kukaa kule...
Kuna washkaj walikuwa wananiambia ni jilipue sasa nikapiga hesabu na hii baridi ilivyo kali plus pesa nilikuwa na kama korona 3000 nikaona isiwe tabu ila na mpango ni mset huyu mtoto wa kizungu japo anazingua sasa hivi nikiweza niende au nifanye process ya scholarship ya kuapply mwenyewe au ni bonge na wazungu hawa kozi kuna hati hati ya kwenda Tena mwezi 12 hivi.
Nop usijilipue kijana utalost, utajuta na utaumia. They become a bit smatter these tyms bruv. Kuna ma fingerprints, passports hzo zote ziko kwa database ya uhamiaji everything is computerised young man. Tena huko mbeleni nahisi hata ma DNA watakua wanachukua secretly.

Ndio maana nchi za watu hata ukiwa student, home office za kule wanajua updates zote za international students mpaka attendance za class na almost all UK or US international universities zina international student department/office within the university. Ni wanakufatilia more than u can imagine. Ukizingua tu kwenu.

We jilipue waku scan viganja hvyo uone. Watakujua hadi kwenu mtogole huko. Utarudishwa kama ulivyokuja. Tehe we kama huyo mtoto kweli uko nae serious nenda as a visitor fanya mpango wa ndoa (sio lazima ya kanisani, UK na US kuna vitu kama Common Law Partner, sio ndoa wala nn ila mna ji register like mnaishi kama mke na mume ila si wanandoa) ki hivyo unapewa mi permit hapo hapo hiyo ndio njia rahisi.

So ni wewe tu.
 
Mi nataka kwenda india ebu nifafunulie utaratibu unakuaje?
 
Wakuu,

Naomba kufahamishwa ni vigezo na gharama gani zinatumika kupata visa ya kuingia na kuishi United Kingdom?

Na kama kuna yeyote mwenye ndugu au jamaa anayeweza kunifanikishia visa ya UK.Mimi nipo Tanzania.

Tafadhali tuwasiliane kwa PM

- Kuwa na sababu ya kwenda UK
- Kuwa na uthibitisho wa kujigharamia.
- Onyesha commitment Tanzania kuonyesha utarudi, Kama property au family

Si Uganga wala, uou qualify you get, u dont then u wont
 
Ndugu cha kwanza ulaya ni permit,(kwa majibu wa rafiki zangu ambao wapo huko dunia ya kwanza) na hiyo permit kupata kuna njia nyingi kidogo,ya kwanza kujilipua yani unajifanya mkimbizi uliyekimbia vita katika nchi zenye vita africa kama africa ya kati,sudan,Somalia n.k,so hapo unakana kabisa uraia wa tz na kujipa uraia wa nchi yenye vita hili upate permit,lakin hapa pia ni bahati maana kuna wengine wanafanya hivyo lakini kwa sababu ulitoka na visa africa wanajua kupitia fingerprint hata kama ulibadilisha jina,wanafika wanajua na hawakupi permit na kukujulisha kama wakikumata,ndo pale unasikia mtu ana nyundo kibao hana mbele wala nyuma na yupo mbele,na kuna wengine wana bahati wanajilipua na kitu kinajipa,wanapata permit na maisha yanaendelea,so kila mtu na bahati yake,...Na ya pili ni kuolewa na demu mwenye permit au uraia anaweza pia akafanya ukapata permit kwa ndoa na ndo mana wabongo wengi au waafrica wengi wanaolewa na vibibi kwa ajili ya permit,na nyingine unaweza ukawa mgonjwa wanakupa permit kama dactari anasibitisha kwa maandishi,..Kama mwingine anazijua nyingine anaweza nisaidia

UmezungumZa kweli. Kuna wengine wanajilipua kwa staili za kudai wao ni mashoga ingawa sio mashoga. Lengo ni kupata hifadhi ya kuishi kwani kwenye nchi zao wananyanyaswa. Na mtu unakuta anafanikiwa ila hawezi kukwambia.
 
Back
Top Bottom